hivi msichana akifanya mapenzi bila kutumia condom siku ya ovulation anaweza kupata mimba?

TONGINDI

Senior Member
Nov 23, 2011
174
32
nisaidie swali hili dactari, ni muhimu. hata wadau wenye ufahamu ktk suala hili mnaweza kuchangia.
 
sasa unategemea nini hapo lazima kitu kikubali labda mwanaume awe joka la kibisa.
 
Wanaume wasikuhizi wanapenda ngono ila wanaogopa mimba kwelikweli na hawakawii kumkameroon mtu kuogopa mimba leo 2 kuanzia asubuhi huu ni uzi wa pili kuuliza jae ana mimba kuweni waangalifu bana/
 
wanaume wasikuhizi wanapenda ngono ila wanaogopa mimba kwelikweli na hawakawii kumkameroon mtu kuogopa mimba leo 2 kuanzia asubuhi huu ni uzi wa pili kuuliza jae ana mimba kuweni waangalifu bana/

wewe jibu swali porojo za nini? Wewe umekuwa nape anayesema hata akibaki peke yake ccm haiwezi kufa!
 
wewe jibu swali porojo za nini? Wewe umekuwa nape anayesema hata akibaki peke yake ccm haiwezi kufa!
tongindi hahahaah umeniuwa mbavu zangu kila siku juzi hapa wamefundishwa kalenda leo viswali uchwara hapa unafikiri shule za kiislam kitand hakizai haramu saa unangonoka ulijua nini ukubwa ndo ushawanyemelea tena
 
ahsante sana, je nikimwaga nje?

Jamani utoto huu nao kazi...!!!!mwaga tu dogo....mwaga kabisaaa,wala hatapata mimba....ila ukianza kuona anakuomba umnunulie ukwaju mpeleke hospitali maana inawezekana ukawa umemuambukiza safura...lol
 
Jamani utoto huu nao kazi...!!!!mwaga tu dogo....mwaga kabisaaa,wala hatapata mimba....ila ukianza kuona anakuomba umnunulie ukwaju mpeleke hospitali maana inawezekana ukawa umemuambukiza safura...lol


hahahahaha!
 
tongindi hahahaah umeniuwa mbavu zangu kila siku juzi hapa wamefundishwa kalenda leo viswali uchwara hapa unafikiri shule za kiislam kitand hakizai haramu saa unangonoka ulijua nini ukubwa ndo ushawanyemelea tena

sasa shule ya kislam na mada wap na wap, acha mambo ya udini wewe.
 
Back
Top Bottom