Hivi mshauri mkuu wa Prof. Lipumba ni nani?

Chizi Maarifa

JF-Expert Member
Jul 29, 2013
10,840
24,615
Huyu jamaa ni msomi mzuri wa uchumi. Lakini ni mmoja ya wanasiasa wa hovyo kabisa kuwah kutokea dunia hii.
Nimejiuliza je anashauriwa na nani?ina maana hata mambo mengine hashauriwi na mkewe au watoto watoto wake?
 
Huyu jamaa ni msomi mzuri wa uchumi. Lakini ni mmoja ya wanasiasa wa hovyo kabisa kuwah kutokea dunia hii.

Nimejiuliza je anashauriwa na nani?ina maana hata mambo mengine hashauriwi na mkewe au watoto watoto wake?
Mshauri mkuu wa Lipumba ni Mchepuko wake, Lipumba sasa si msomi tena wala hakumbuki alichokisomea kichwani kavisahau maana hakuwa akivifanyia kazi mda mwingi alikalia siasa za maji taka, kwa sasa Lipumba anaongea pumba tu amekuwa profeselii wa ZE olijino comedy, kichwani karejea kuwa na Elimu kama Profesa maji marefu, Kilichokuwepo sasa ni biashara anafanya kabuni mladi baada ya kuishiwa zile pesa alizopewa na Membe Kipindi cha kampeni akatoroka, kaamua kuchukua pesa tena CCM ili arejee CUF kwenda kuua chama, ametumwa na CCM Zanzibar na Tanganyika aende kueneza sumu chama kisambaratike hafai hata kidogo Lipumba ni Hatari kuliko maelekezo.
 
Anashauriwa na maprof wenzake waliobobea kwenye taaluma mbalimbali ndiyo maana wewe Chizi Maarifa na machizi wengine wa aina yako hamumuelewi.
 
Tetetetete nimegundua kwa kutumia elimu ya Tanzania hauwezi kufuta ukilaza kabisa na kuuu la ****** yupo level ya Uprofessor.
Lipumba ni Profeselii wa ze olijino comedy anazidiwa ujanja na Profesa maji marefu, Mshauri wake mkuu wa siasa akina Nape na January ambao kupitia humu hujinufaisha pindi pesa ikitoka kwenda kwake kwa maana kwamba hupata 10% ya kufanikisha mchongo, mfano sasa wanapiga pesa za CCM kwenye huu mchakato wa kumrejesha Lipumba akadhoofishe CUF.
 
Huyu jamaa ni msomi mzuri wa uchumi. Lakini ni mmoja ya wanasiasa wa hovyo kabisa kuwah kutokea dunia hii.

Nimejiuliza je anashauriwa na nani?ina maana hata mambo mengine hashauriwi na mkewe au watoto watoto wake?
Hana MSHAURI ndio maana anafanya mambo ya ajabu kiasi kwamba hata vilaza kama mimi tunashangaa kama ni Profesa wa uchumi kweli au wa maji marefu ! Kama uprofesa wake ni wa maji marefu basi CUF sio saizi yake, aende tu kule upande mwingine, yaani CCM.
 
Hana MSHAURI ndio maana anafanya mambo ya ajabu kiasi kwamba hata ****** kama mimi tunashangaa kama ni Profesa wa uchumi kweli au wa maji marefu ! Kama uprofesa wake ni wa maji marefu basi CUF sio saizi yake, aende tu kule upande mwingine, yaani CCM.
Mkuu Lipumba alipewa Mabilioni ya dola tena pesa za marehemu Gadafi na NIDA toka kwa Membe akawakimbia Ukawa kwa visingizio feki, pesa zimeisha na Mchepuko wake anataka pesa kaamua kubuni mladi mwingineo ili ccm watoe pesa arudi CUF kwenda kudhoofisha chama, Lipumba hana uchungu na chama yeye yupo after money.
 
hahaha maprofesa sawa kuku wa kisasa ht ukmuacha don't move
Huyo si Profesa bali ni Profeselii wa ZE olijino comedy hana Taaluma kichwani, keshasahau alichosoma kitambo sasa yupo kama Profesa maji Marefu anapiga Dili kupitia siasa.
 
Ukisomea Taaluma Fulani kisha ukawa hauifanyii kazi kwa Kipindi kirefu lazima utasahau baadhi ya vitu, Lipumba mda mwingi huwa yupo busy na siasa za maji taka na Madili ya siasa hana mda wa kufanyia kazi anachodai alikisomea, hata ukipima ushauri wake Kipindi cha Utawala wa mwinyi hakuna alichomshauri cha maana zaidi ya kuporomoka kwa Thamani ya shilingi dhidi ya dola kwa kiwango kikubwa zaidi, uprofesa wa Lipumba una utata Nadhani Taaluma yake itakuwa ni zile za kuunga unga, usomaji wa kijanja janja wa kuiba mitihani na kununua majawabu na kumiliki vyeti, lakini hujitahidi kusoma English kwa bidii ili wafiche mapungufu yao baada ya kugundua kuwa Watanzania wengi huamini kuwa mtu anayeongea Kingereza ni Msomi hawajui kuwa wazaliwa wa London wote wanajua Kingereza japo wapo ambao hawakwenda shule kabsa, China, German, Spain,Italy nk kuna Wasomi na maprofesa wengi ambao wamesoma kwa lugha zao na hawajui Kingereza kabsa na maisha yanaendelea kama kawaida, Lipumba kwa sasa ni shiiiiiiiida inapaswa aambiwe Ukweli live aache Dili za siasa na madalali wa siasa Kama anataka Siasa aanzishe chama chake kama Zito Kabwe.
 
Huyu jamaa ni msomi mzuri wa uchumi. Lakini ni mmoja ya wanasiasa wa hovyo kabisa kuwah kutokea dunia hii.

Nimejiuliza je anashauriwa na nani?ina maana hata mambo mengine hashauriwi na mkewe au watoto watoto wake?

Lipumba hana mke anaishi kisela ndiyo maana hata akikurupuka hamna wa kumshauri. Hivi mtu mzina kama yule unawezaje kuishi kibachela?
 
Lipumba Kama anapenda siasa toka moyoni amuige Zote aanzishe chama chake kipya kabsa aache hizo njama zake za kwenda kukidhoofisha CUF.
 
Lipumba hana mke anaishi kisela ndiyo maana hata akikurupuka hamna wa kumshauri. Hivi mtu mzina kama yule unawezaje kuishi kibachela?
ndipo ujue mkuu kuwa hao wanaojiita Wasomi Nchi hii ni shiiiiiiiida! Ebu pina hii Lipumba hujiita Profesa lakini waliokwenda kumrubuni akatoroka Ukawa Kipindi cha kampeni ni Div 4 Nape na Div zero form six January Makamba walimsomesha akaingia line akachukua pesa toka kwa membe na wao kupata 10% humo, kama kweli ni Msomi iweje akamatwe Akili na watu ambao si Wasomi wala maprofesa?
 
Watu wote wakushakungaza huwezi kuwapata sehemu yeyote duniani isipokuwa tanzania,Kama ni walimu,profesa,wanasiasa,wanafunzi,kwanza vigeugeu na hawana misimamo na ni wa kwanza kukana kauli zao.
 
Back
Top Bottom