Chizi Maarifa
JF-Expert Member
- Jul 29, 2013
- 10,840
- 24,615
Huyu jamaa ni msomi mzuri wa uchumi. Lakini ni mmoja ya wanasiasa wa hovyo kabisa kuwah kutokea dunia hii.
Nimejiuliza je anashauriwa na nani?ina maana hata mambo mengine hashauriwi na mkewe au watoto watoto wake?
Nimejiuliza je anashauriwa na nani?ina maana hata mambo mengine hashauriwi na mkewe au watoto watoto wake?