WABALLA Inc
JF-Expert Member
- Sep 2, 2014
- 2,711
- 1,018
Huwa naona usukumani wakikoboa mpunga mabaki yale yamelundikwa bila kazi. Ila leo nimemsikia Waziri wa Kilimo akisema watu wasiuze nje ya nchi mpunga waukoboe ili wapeleke mchele na wabaki na mashudu.