Hapo ni sawa na kuuliza kwa nini wakuambie uandike barua kwa mkono halafu wenyewe wanakujibu kwa barua iliyokuwa typed & printed !!! Lazima ujue kuwa wewe ndiye interviewee, wao hawajipimi ila wanakupima wewe, may be wanataka wajue fluence yako ktk lugha mbili, au nature ya kazi ni kuandika zaidi kuliko kuongea (tukubaliane kuwa kuna watu ni wazuri wa kuandika kuliko kuongea hayo hayo waliyoandika, and may also be vice-versa!!).