Mkuu kama hutojali wewe ni jinsia gani?Nauliuza , kwa kuwa huyu jamaa namsikia sana kwamba ana mkwanja si kitoto, hivi anaweza kufikisha 1million USD? Binafsi siamini kama anafikisha huo mkwanja lkn who knows?
Who knows?Kwa hiyo wanaondika na kusoma forbes magazine wote ni Wanawake?
jamaa kazingua jinsi alivyo kujibu msamehe bure mkuu, lakini kama unaijua hiyo forbes ungeifatilia habari za mkwanja wake utazipata uko but sorry kama nitakua nimekujibu vibayaKwa hiyo wanaondika na kusoma forbes magazine wote ni Wanawake?
pambaf wewe unaulizia hela za watu unataka uolewe mara ya pili?Kwani hli ni jukwaa la Siasa?
Ila hawezi kumfikia aliyepiga trilion 1.5 kwa show ya usiku mmoja leaders club. Mzee wa font fed ni bonge la msanii. Mondi ni cha mtotoNauliuza , kwa kuwa huyu jamaa namsikia sana kwamba ana mkwanja si kitoto, hivi anaweza kufikisha 1million USD? Binafsi siamini kama anafikisha huo mkwanja lkn who knows?
Unataka ukamchune???Maana CCM kwa mapunga mnaongozaNauliuza , kwa kuwa huyu jamaa namsikia sana kwamba ana mkwanja si kitoto, hivi anaweza kufikisha 1million USD? Binafsi siamini kama anafikisha huo mkwanja lkn who knows?
Tena single mother kama wewe mnasumbua sana nenda tu kwa mondi akakushoneKwa hiyo wanaondika na kusoma forbes magazine wote ni Wanawake?
Ukitusema unapata nini?Ndio mambo mnayoshindia wanaume wa daresalama!
Mkitoka hapo kula kulala kwa Shemeji?
Akiwa nazo au asiwe nazo wewe inakusaidia nini?
mbna ndogo sana hyo haitoshi hata mlo wangu wa siku1 US dola bongo Hii kwa Muziki tu au kuna lingine