Mwanaume anapenda through his eyes na mwanamke through her ears...Yani bandugu mkijua kumpiga lugha mwanamke basi atakupenda tu mana wao masikio ndo yanapenda, sisi mpaa macho yapende ndo tunapenda.
Shem kuna point ya sikio apo umeiona?Umekosea, tunapenda kwa mioyo yetu. Hatupendi kwasababu nyie ni mahandsome, mnavaa vizuri, mnanukia... Lah!
Tunawapenda wanaojua thamani ya upendo na wanaojua nini mwanamke anastahili.
Mimi sijazungumzia u handsome hapo au mavazi au ulio yasema, nimesema wanawake wanapenda kwa njia ya masikio yani ukipigwa lugha vizuri basi unapenda au uwongo.Umekosea, tunapenda kwa mioyo yetu. Hatupendi kwasababu nyie ni mahandsome, mnavaa vizuri, mnanukia... Lah!
Tunawapenda wanaojua thamani ya upendo na wanaojua nini mwanamke anastahili.
Mimi sijazungumzia u handsome hapo au mavazi au ulio yasema, nimesema wanawake wanapenda kwa njia ya masikio yani ukipigwa lugha vizuri basi unapenda au uwongo.
Shem kuna point ya sikio apo umeiona?
Suali la nyongeza: kwanini wanaume tunakubali udhaifu wetu lakini wanawake mnakuwa wagumu kukubali?shem wengine tunapenda kuona hatupendi kusikia.
Suali la nyongeza: kwanini wanaume tunakubali udhaifu wetu lakini wanawake mnakuwa wagumu kukubali?
Aisay kweli lakini hawa wengi wanapenda kwa masikio yani 75% ukipiga lugha wanaregea unafunga bado kiulaini kabisa :biggrin:
Fazaa, wanasema wanaume wanakua EXCITED zaidi kwa kupitia wanacho kiona, na wanawake ni zaidi kwa kupitia wanacho kisikia. Sio kupenda. Kama alivo sema Husninyo kupenda ni roho.
Mkuu ukimsoma fazaa vizuri basi utagundua katumia neno "through", hilo sikio ni transition tu.Fazaa, wanasema wanaume wanakua EXCITED zaidi kwa kupitia wanacho kiona, na wanawake ni zaidi kwa kupitia wanacho kisikia. Sio kupenda. Kama alivo sema Husninyo kupenda ni roho.
Siamini!kwasababu wanawake bado hawajajua udhaifu wao upo wapi.
Na mimi nimesema sio FALL IN LOVE THROUGH, ni GET EXCITED THROUGH.Mkuu ukimsoma fazaa vizuri basi utagundua katumia neno "through", hilo sikio ni transition tu.
na excitement ni ingredient muhimu kwenye falling in love, hivi unajua excitement ndio inayoleta ublind na sio love kama wengi tunavyojidanganya?Na mimi nimesema sio FALL IN LOVE THROUGH, ni GET EXCITED THROUGH.