Hivi Mlimani City huwa hakuna mabinti single?

Hivi Mlimani City huwa hakuna mabinti single?

tang'ana ,
Una maneno machafu ndiyo mana utaendelea kukosa vivyo hivyo kila siku.

Hujui kuwa Wazazi wamezaa na kumlea mtoto wao wa kike kwa gharama na mateso tele.

Halafu wewe unachania midomo yako kama mamba eti " nawinda swala"

Ningekuwa karibu nawe ningekuzaba kibao cha 900 ingependeza zaidi.
 
Wakuu,

Baada ya upweke wa muda mrefu nikajisemea ngoja nianze kuwinda mabinti pale Mlimani City, so nikajiwekea kautaratibu kila siku jioni lazima nipitie pale Mlimani City kuzuga huku nikiwa nawinda totoz.

Lakini sijui ndio tuseme nina gundu au vipi, hii ni wiki ya pili tangu nimeanza kuwinda na sijabahatika kupata manzi wa kueleweka maana kila ninayebahatika kuongea nae ananiambia tayari ana mtu.

So labda mnisaidie mbinu zaidi wakuu au pia mnipe majina ya viwanja vingine wanapopatikana hawa swala kwa wingi.
unaenda kutongoza kipindi ambacho boom limetoka. Nenda mwezi Januari mwishoni utasikia majibu yamebadilika kwa wote
 
Wakuu,

Baada ya upweke wa muda mrefu nikajisemea ngoja nianze kuwinda mabinti pale Mlimani City, so nikajiwekea kautaratibu kila siku jioni lazima nipitie pale Mlimani City kuzuga huku nikiwa nawinda totoz.

Lakini sijui ndio tuseme nina gundu au vipi, hii ni wiki ya pili tangu nimeanza kuwinda na sijabahatika kupata manzi wa kueleweka maana kila ninayebahatika kuongea nae ananiambia tayari ana mtu.

So labda mnisaidie mbinu zaidi wakuu au pia mnipe majina ya viwanja vingine wanapopatikana hawa swala kwa wingi.
Huna hela mkuu tafuta hela hao viumbe watakuja wenyewe tuu.
 
Kazi unayo sidhani kama utayafurahia maisha kwa style hiyo, kwanini usioe kabisa utulie au uache kuhangaika kuwatafuta ma single
Aoe kabisa kivp wakat kakwambia wote wana watu wao ??..
 
Wengi wao ni type golddiggers we nenda na ndinga kali na mkwanja mrefu uone kama boy friend wake hapigwa chini au kuuliwa kabisa..
 
Aoe kabisa kivp wakat kakwambia wote wana watu wao ??..
mimi na wewe hatujui sababu inayowapelekea kumwambia wna watu wao, ila kuna mwingine humu alisema asubiri mwisho wa semester ya I kuwa hata jibiwa hivyo kutakuwa na majibu yatakayo leta matumaini
 
Wakuu,

Baada ya upweke wa muda mrefu nikajisemea ngoja nianze kuwinda mabinti pale Mlimani City, so nikajiwekea kautaratibu kila siku jioni lazima nipitie pale Mlimani City kuzuga huku nikiwa nawinda totoz.

Lakini sijui ndio tuseme nina gundu au vipi, hii ni wiki ya pili tangu nimeanza kuwinda na sijabahatika kupata manzi wa kueleweka maana kila ninayebahatika kuongea nae ananiambia tayari ana mtu.

So labda mnisaidie mbinu zaidi wakuu au pia mnipe majina ya viwanja vingine wanapopatikana hawa swala kwa wingi.
kwani lazima awe wa milimani city,mbona wapo kibao tu totoz wazuri
 
ndo ujirekebishe mkuu
Nitajirekebishaje bila kuambiwa afadhali niambiwe nijue ndio ntajua pa kuanzia kujirekebisha, nataka niwe naambiwa makosa yangu ili nijirekebishe ila kuambiwa iwe inbox isiwe public maana udhaifu wa mtu huwa unazungumzwa ndani sio nje. niko tayari kujirekebisha endapo nitaambiwa udhaifu wangu.
 
Bumu likikata wafuate chuo pale kariakoo ya hall five wengi ni bikra utawakuta wakinunua mikate ili wakapike chai kwa ajili ya lunch. Wengine utawakuta kafteria usiku pale nje wakila RB.
RB ndo nn
 
RB ndo nn
RB ni kifupi cha Rice Beans. Kwa pale Udsm MTU anayeagiza wali maharage cafteria anachukuliwa km MTU aliyefulia sana kwa sababu pale chuo wali maharage kinachukuliwa km chakula cha watu wa hali ya chini. Bumu likikata wanafunz weng wanakula sana wali maharage. Miaka mitano iliyopita RB ilikua inauzwa 900 tu BT Cjui kwa sasa
 
Nenda kaangalie cinema kwa wiki mara mbili, ukimuona manzi usiwe na time nae wewe kuwa busy tu na cinema, alafu jiweke kama mjamaa mwenye mawazo kwa kutendwa (itakusaidia siku za usoni)

Ukifanya hivyo utapata mtot mzuri na aliye single kweli ndani ya muda wa mwezi ila chonde chonde USITONGOZE! watakuja tu sababu wanakuona watajileta wenyewe tu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom