Idofu
Senior Member
- Oct 24, 2022
- 108
- 187
Hapa hapa DSM, wananchi wanahangaikia kupata angalau namba tu tangu January mpaka hii leo hawajapata? Hapa hapa KAWE na sio vijijini huko!!
Kila siku unaambiwa Mara Network Sijui imefanya nini, mara Sijui nini kimetokea, yaani ni taabu tupu!, halafu kibaya zaidi Kazi ya Customer service mmewaaachia Walinzi wa Kampuni binafsi huko, hivi mnajua wanavyowahudumia wateja wenu?
Kila siku unaambiwa Mara Network Sijui imefanya nini, mara Sijui nini kimetokea, yaani ni taabu tupu!, halafu kibaya zaidi Kazi ya Customer service mmewaaachia Walinzi wa Kampuni binafsi huko, hivi mnajua wanavyowahudumia wateja wenu?