ingawa kiswahili cha swali lako hakijatulia kabisaaaaHodi kwenye hapa jamvini kwenu wana JF,naomba kupata jawabu kuhusu haya:-
Mimba ni ya nani?
Mtoto ni wa nani?
Maswali haya yamekuja kutokana na mkanganyiko uliopo baina ya wanandoa/wapenzi pale hali hiyo inapojitokeza.
Akiulizwa binti mimba ya nani atajibu ya fulani(Nguli - mfano)ama mtoto wa nani wa fulani(Field-mfano).Sasa hapa huyu binti hahusiki kabisa na hivi viwili ama?
Hodi kwenye hapa jamvini kwenu wana JF,naomba kupata jawabu kuhusu haya:-
Mimba ni ya nani?
Mtoto ni wa nani?
Maswali haya yamekuja kutokana na mkanganyiko uliopo baina ya wanandoa/wapenzi pale hali hiyo inapojitokeza.
Akiulizwa binti mimba ya nani atajibu ya fulani(Nguli - mfano)ama mtoto wa nani wa fulani(Field-mfano).Sasa hapa huyu binti hahusiki kabisa na hivi viwili ama?
Nafasi ya mwanamke/me katika hivi viwili.
je mwanamke ni incubeta tu?
temea mate chini!
una mama weye?; mimba wanakuwa wanyama binadamu wanaujauzito!
dogo unaonaje tukurudishe shule....