Hivi michepuko wote mko hivi?

Hivi michepuko wote mko hivi?

Two options...
1. Kaa nae shauriana nae atoe hiyo mimba.
2. Kaa chini na mkeo mwambie ukweli na mkubaliane pamoja yule bint azae

Madhara yake ni kwamba huyo binti ukimpiga chini anaeza siku ukamkuta sebleni na dera lake na shangazi kaja umpe chumba alelee mimba yako ndani kwa mkeo
 
Mkuu hata mwezi hujamaliza tayari ushatia mimba nje?

Hata mkeo dalili za mimba hana.

Pole.
 
Ukome.

Natamani amfahamishe mke wako ili akuache apate mwanaume mwingine.
 
Ushauri wangu:
Muoe na huyo mchepuko awe mkeo rasmi, yaani uwe na wake wawili
 
Habari wanabodi,

Nimekuja kuomba ushauri. Nimeoa mwezi uliopita sasa kuna kamchepuko kangu kamenasa mimba mwezi niliofunga ndoa, sasa kananisumbua balaa kila muda kanataka niwe nako halafu wameungana na dada yake yaani anataka nimthamini kuliko mke wa ndani.

Nikiwa kazini anatuma text njoo nyumbani la sivyo natoa mimba, yaani amekuwa kero kwakweli. Dada yake anamsapoti sana nimechoka.

Juzi nilimwambia nasafiri kikazi nje ya mkoa akataka niende nae nikagoma akaanza kusema yeye basi anatafuta mtu mwingine maana ana genye, nikasema tafuta tu mimi sitaki mahusiano ya kimapenzi na wewe..., akaanza basi mimi natoa mimba siwezi lea kiumbe asiye na faida.

Kwa kweli mchepuko huu ni taabu tu.
Muruhusu aitoe kwa gharama zake,unatishiwa nyau na wewe unatishika?,wanaume siku hizi sijui tukoje
 
fikiria hajazaa hali ni hiyo akija akizaa, hiyo ndoa utaiona chungu atakuendesha balaa na atakuwa anakutishia kumleta mtoto kwa mkeo, kama vipi mwambie katafute baba wa mtoto, ikatae...umuonyeshe uwanaume halisi. ila unavyoongea unaonekana hiyo mimba unaitaka sana ndo mana anakutishia kuitoa.
 
Mwambie akutumie m-pesa iyo mimba halafu ukaitoe kwa Tanzania shillings
 
Wewe??? nakuuliza wewe umeoa??

Unajua maana ya kuoa???

Kama unajua maana ya kuoa, sidhani kama utakuwa umeoa.

Yani wenzako waliooa mwezi uliopita hivi sasa wako honeymoon we uko hapa unatuletea habari za michepuko...

Mi nadhani hujaoa bali umeozeshwa.
Kabisaaaaa
 
Umempa mimba kilaza,na kumbuka watoto ufata akili kwa mama.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom