Asprin
Platinum Member
- Mar 8, 2008
- 68,272
- 96,398
Wewe uliandika hhivi hapo chini.... ukimaanisha kutoa mimba... kwamba ukautoe uhai wa binadamu. Kwa kifupi mauaji.
Mi nikashangaa sana. mambo hayo hufanywa na ziraili au shetani muuaji. Nikakuuliza kiroho safi tu...
Badala ya kujibu ukaamua unibatize hivi
Sasa hapa ngoja tumwachie Mungu aamue nani ni shetani na nani ni lucifer au ni nani anafaa kupewa majina yote mawili.
Uenende na laana katika mauaji yako.
Nmemwambia atowe tu maana naona ndio tiketi ya kunisumbua
Mi nikashangaa sana. mambo hayo hufanywa na ziraili au shetani muuaji. Nikakuuliza kiroho safi tu...
Wewe ni shetani??
Badala ya kujibu ukaamua unibatize hivi
Wewe lucifer
Sasa hapa ngoja tumwachie Mungu aamue nani ni shetani na nani ni lucifer au ni nani anafaa kupewa majina yote mawili.
Uenende na laana katika mauaji yako.