Hivi michepuko wote mko hivi?

Hivi michepuko wote mko hivi?

Wewe uliandika hhivi hapo chini.... ukimaanisha kutoa mimba... kwamba ukautoe uhai wa binadamu. Kwa kifupi mauaji.

Nmemwambia atowe tu maana naona ndio tiketi ya kunisumbua

Mi nikashangaa sana. mambo hayo hufanywa na ziraili au shetani muuaji. Nikakuuliza kiroho safi tu...

Wewe ni shetani??

Badala ya kujibu ukaamua unibatize hivi
Wewe lucifer


Sasa hapa ngoja tumwachie Mungu aamue nani ni shetani na nani ni lucifer au ni nani anafaa kupewa majina yote mawili.

Uenende na laana katika mauaji yako.
 
naiona ndoa yako ikifa siku si nyingi unless ufanye kitu juu ya hili kwani ni lazima kuchepuka?unatafuta nini maku ni ile ile tu
 
Hivi kwa nn watu wanaishi kwa kutunga tunga mambo ya kipuuzi na kutuletea huku, wakati mwingine tunasoma kwa dhati ujumbe wa mtu kwa lengo la kutoa msaada wa mawazo pale tunapoweza lakini kwa habari kama hizi hakika mnafanya hata wanohitaji ushauri wa kweli kujibiwa porojo na kebehi. Huwezi ukawa umeoa mwezi mmoja uliopita na bado unamchepuka at the same time tena mchepuko ana mimba wakati ww unaoa . ebu acha upuuzi
 
Subria kurogwa sasaa!uwe zezeta lake.
 
KAMEPATA MIMBA MWEZI ULIOFUNGA NDOA! Ahaaa...basi,nilikuwa sioni vizuri.
 
Ushauri gani ...ndani ya mwezi tu umeshachepuka ngoja akukomeshe na ukizingua anakuloga
 
Wewe??? nakuuliza wewe umeoa??

Unajua maana ya kuoa???

Kama unajua maana ya kuoa, sidhani kama utakuwa umeoa.

Yani wenzako waliooa mwezi uliopita hivi sasa wako honeymoon we uko hapa unatuletea habari za michepuko...

Mi nadhani hujaoa bali umeozeshwa.
ha ha ha babu mbona unamfokea bada ya kumsaidia
 
uyo mchepuko anavyokufanyia sawa sawa yaan kama n mm mimba sitoi ndoa haina ata miezi na mimba juu hiyo dhambi lazma ikutafune
 
55cf2d053162a55237b3fdb440fa5fd6.jpg
tisha sanaaaaaaaaaa
 
Haukuna haja ya kulalamika kama ni kweli kaa ujue ndoa yako iko njiani kuvunjika.
 
Uyu jamaa noma! Mchepuko adi mimba acha ukusomeshe namba
 
Habari wanabodi,

Nimekuja kuomba ushauri. Nimeoa mwezi uliopita sasa kuna kamchepuko kangu kamenasa mimba mwezi niliofunga ndoa, sasa kananisumbua balaa kila muda kanataka niwe nako halafu wameungana na dada yake yaani anataka nimthamini kuliko mke wa ndani.

Nikiwa kazini anatuma text njoo nyumbani la sivyo natoa mimba, yaani amekuwa kero kwakweli. Dada yake anamsapoti sana nimechoka.

Juzi nilimwambia nasafiri kikazi nje ya mkoa akataka niende nae nikagoma akaanza kusema yeye basi anatafuta mtu mwingine maana ana genye, nikasema tafuta tu mimi sitaki mahusiano ya kimapenzi na wewe..., akaanza basi mimi natoa mimba siwezi lea kiumbe asiye na faida.

Kwa kweli mchepuko huu ni taabu tu.
usituletee mada zako za kutunga hapa,mpeleke huyo mchepuko kwa mkeo akapumzike
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom