utaifakwanza
JF-Expert Member
- Feb 1, 2013
- 14,193
- 2,815
mbowe anakiuzia chama magari na majenerator kwa manufaa yake yeye.
kama haitoshi aliwahi kukiuzia chama vyombo vya muziki chakavu.
Juzi zitto kabwe katusaidia kutueleza bayana jinsi mbowe alivyopokea hela za mafisadi ili afanyie kampeni.
Leo sote tumeona mbowe amekodisha chopa tatu kufanyia mikutano ya siasa.
kama haitoshi mbowe anatumia magari mawili ya serikali moja la kiongozi wa upinzani bungeni na lingine la mbunge.
Lakini pia mbowe kawa fisadi wa madaraka kwa kuchakachua katiba ili awe mwenyekiti wa milele.
kama haitoshi aliwahi kukiuzia chama vyombo vya muziki chakavu.
Juzi zitto kabwe katusaidia kutueleza bayana jinsi mbowe alivyopokea hela za mafisadi ili afanyie kampeni.
Leo sote tumeona mbowe amekodisha chopa tatu kufanyia mikutano ya siasa.
kama haitoshi mbowe anatumia magari mawili ya serikali moja la kiongozi wa upinzani bungeni na lingine la mbunge.
Lakini pia mbowe kawa fisadi wa madaraka kwa kuchakachua katiba ili awe mwenyekiti wa milele.