Hivi Mgao umeanza tena kimyakimya?

Hivi Mgao umeanza tena kimyakimya?

Return Of Undertaker

JF-Expert Member
Joined
Jun 12, 2012
Posts
4,572
Reaction score
26,892
Wadau niko Morogoro mji mzima hakuna umeme ni zaidi ya saa mbili sasa napenda kujua mgao wa umeme umeanza??
 
kwa arusha na moshi leo ni siku ya pili na mpaka sasa hakuna umeme na inawezekana kuna mgao au hitilafu ya karibu nchi nzima
 
mi mwenyewe nashangaa.......Chugga City no stima....nini hii sasa.....?
 
Arusha toka saa kumi na mbili hakuna umeme hadi saizi na hatuna matarajio yoyote mpaka saizi ya kurudi umeme na mbaya zaidi hakuna taarifa yoyote kwa umma nini kinachoendelea.
 
mi mwenyewe nashangaa.......Chugga City no stima....nini hii sasa.....?


Hapo ndipo jinamizi la kuichukia serikali ya mabwepande inapozidi kupanda. Kila kitu ni kukanusha tu hata ambayo yapo wazi.
 
Kunani jamani humu JF hakuna mfanyakazi wa Richmond atujuze? Au mafuta ya Diwans yameisha
 
Ni saku ya pila mfululizo sasa hapa Jiji la arusha na viunga vyake likogizani hakuna meme na Tanesko hawajatoa taarifa yoyote juu ya nini kinaendelea.mwanzo walikata baadhi ya maeneo sasa hivi ni jiji zima.
 
huku tunduma tokea saa mbili asubui mpaka dakika hii giza.!
 
mwanza tangu saa tano usiku mpaka sasa, hamna taarifa zozote toka tanesco nchi inaoza kila idara sijui mjengoni wamesema lolote. Tujuzeni mlioko huko.
 
Ni saku ya pila mfululizo sasa hapa Jiji la arusha na viunga vyake likogizani hakuna meme na Tanesko hawajatoa taarifa yoyote juu ya nini kinaendelea.mwanzo walikata baadhi ya maeneo sasa hivi ni jiji zima.

Kifupi hali ni mbaya sana na hakuna taarifa ya msingi juu ya nini kimetokea. Naona kamati inajipanga juu ya propaganda juu ya hili jambo.
 
Mkuu upo mitaa ya wapi? Mbona huku nilipo haujakatwa?
 
Nipo USA-Ar hakuna umeme toka jana...sijui tatizo nini, Barbra masudi naona analishwa propaganda za kutueleza kupitia vyombo vya habari.
 
Mbeya, ileje, mbozi tangu asubuhi hakuna umeme.
 
Rocky city mpaka usiku huu hakuna Stima!
Mwenye kaya anajirusha majuu! Allah ampe nini..Mabusha!
 
Huku njiapanda Himo tokea saa 3 na nusu asbh hadi time hii full giza, jana pia saa 12 hv jioni hadi usiku wa manane ndio wamerudisha. Nilijua Ngeleja kichefuchefu lkn huyu waziri mpya ni balaa zaidi.
 
Back
Top Bottom