Kitu kiwe kimefichwafichwa ndo hua kinavutia!!!
FL1 just to ask you! kutokana na yaliyo mkuta Burn leo, Je nyieee wakina dada huwa mkituona sie wakina kaka katika hali gani nanyie huwa mwachanganyikiwa na sihujihisi duh kunani? hapa mbona sister huko anani tizama sana???
kweli kikikaa wazi wazi hakuna mvuto tena
kweli kikikaa wazi wazi hakuna mvuto tena
Kuna hii style ya watermelon,sehemu kubwa ya gauni/blouse ipo wazi kifuani. Yaani ukivaa ndio hivyo tena sehemu kubwa ya titi linakuwa nje, chuchu tu ndio zinasalimika. Na nyie wakaka inabidi muwe mnazuga kana kwamba hujaona kitu.
. Na nyie wakaka inabidi muwe mnazuga kana kwamba hujaona kitu.
Kuna hii style ya watermelon,sehemu kubwa ya gauni/blouse ipo wazi kifuani. Yaani ukivaa ndio hivyo tena sehemu kubwa ya titi linakuwa nje, chuchu tu ndio zinasalimika. Na nyie wakaka inabidi muwe mnazuga kana kwamba hujaona kitu.
Hiyo itakuwa ngumu sana, kwa kawaida ua huvutia nyuki, hebu nisaidie binamu wangu pretty, kwako wewe matiti ni uchi au ni kiungo tu kama pua unaweza kuliacha wazi au kulisitiri usione tofauti?
Kuna hii style ya watermelon,sehemu kubwa ya gauni/blouse ipo wazi kifuani. Yaani ukivaa ndio hivyo tena sehemu kubwa ya titi linakuwa nje, chuchu tu ndio zinasalimika. Na nyie wakaka inabidi muwe mnazuga kana kwamba hujaona kitu.[/QUOTE]
Hahaha! Inategemea n'tu na n'tu. Kama mimi macho yangu huwa yanapendaga kuangalia vitu vyenye mvuto tu. Utaangaliaje m.avi wakati kuna ua linachanua sehemu? Utaangaliaje midevu ya mjibaba wakati titi la pretty linachungulia sehem sehem? Ma hapo hamnidanganyi bana!
Matiti ni sehemu ya mwili inayohitaji kufichwa na sio kuachia achia kila mtu aone.
Iwa nashindwa kuelewa utakuta dada au sister du anayaficha sana maembe hayo liwe dodo au embe uchungu analificha kweli kweli lakini akizaa tu maembe yanakuwa sio dili tena anaaanza kuyaanika ovyo ovyo wkt ananyonyesha anayaachia tu vp jamani tunashindwa kuelewa thamani ya titi inapungua ukisha zaa?
huo ugomvi ulioununua hapa sijui nani atakuja kuuzima, ngoja waje hapa kukushambulia mabinamu.
Hapo sawa, na wakiendelea na sisi tutashona chupi na suruali zenye tundu tuache kende zetu zinaning'inia tuone....just kidin'
Iwa nashindwa kuelewa utakuta dada au sister du anayaficha sana maembe hayo liwe dodo au embe uchungu analificha kweli kweli lakini akizaa tu maembe yanakuwa sio dili tena anaaanza kuyaanika ovyo ovyo wkt ananyonyesha anayaachia tu vp jamani tunashindwa kuelewa thamani ya titi inapungua ukisha zaa?
Sasa napata maswali hivi mdada huwa unajisikiaje midume ikiangalia matiti yako kwa kuyatamani? Hivi huwa mnayachukulia matiti kama sehemu ya utupu katika miili yenu? Hivi mbona wengine wanaweza kunyonyesha mbele za watu?
Oh...my...gosh!!!
watakimbia haooo, jicho mara moja tu hakuna wa kusimama, yaani itakuwa ni uuwiiii kichaaa!!