hivi mbowe anajua kiingereza?

hivi mbowe anajua kiingereza?

Status
Not open for further replies.

aka2030

JF-Expert Member
Joined
Jan 5, 2013
Posts
2,672
Reaction score
3,737
Maana sijawahi kumsikia anazungumza kiingereza ndio maana hata ziara za chama nje ya nchi huwa anakwepa
 
Yule mmanyema sidhani labda kilingala na kireno....halafu nilitaka kusahau,wale tunaoenda morocco tukutane jioni safari itaanza saa kumi na moja alfajiri kesho!
 
Maana sijawahi kumsikia anazungumza kiingereza ndio maana hata ziara za chama nje ya nchi huwa anakwepa

Kiingereza ni lugha kama lugha nyingine hazina uhusiano na uwigo wa ufahamu wako, thats kama hujui hujui tu!
Wewe ndiye unayepanga hizo safari, tweleze ipi alikwepa?
 
Yule mmanyema sidhani labda kilingala na kireno....halafu nilitaka kusahau,wale tunaoenda morocco tukutane jioni safari itaanza saa kumi na moja alfajiri kesho!

thanx kumpotezea mleta mada za kipuuzi
 
anajua......ila anaishi tanzania kwa watanzania wanaoongea kiswahili, sasa unataka aongee kingereza na nani?
 
Maana sijawahi kumsikia anazungumza kiingereza ndio maana hata ziara za chama nje ya nchi huwa anakwepa

Yaani wewe akili zako fupi kweli.Ivi rais wa China alipofika nchini alizungumza kiingereza au kichina? Swali,sasa aliwezaje kusaini mikataba 17 wakati hajui kingereza? Kajipange upya
 
Wewe unajua kiingereza? Mimi najua kwa ufasaha kiswahili, kiingereza, kitaliano, kirusi na kifaransa?
 
Yani we kweli waajabu unaona kujua kingereza deal sana eeh? Sasa subiri uone wasio jua kingereza watakavyo piga bao kirahisi kama rais wa china.
 
Si lugha yake na kwanza wewe mwenyewe unajua ? Mbona mnahangaikla sana mara Zito, Mnyika, Dr Slaa nk, nyie vp?Kujua kutojua lugha hiyo wewe unapata faida gani? Achen unafiki jenga hoja zenye mana kwa jamii.

NB: Nenda kwenye jukwaa la udaku au magazeti husika,aloliumba Mungu hakuna wa kulizuia.

So what???
 
Maana sijawahi kumsikia anazungumza kiingereza ndio maana hata ziara za chama nje ya nchi huwa anakwepa

Wewe ni mvivu wa utafiti. Mpigie simu yake ya mkononi umsemeshe kwa Kiingereza (kama wewe unakijua lakini) kuliko kutuuliza wanaJF
 
Maana sijawahi kumsikia anazungumza kiingereza ndio maana hata ziara za chama nje ya nchi huwa anakwepa

hivi marais wa china,urusi,japan,cuba,ureno,italy,german wanajua kingereza kweli? Sjawahi kuwaskia wakiongea kingereza!
 
Si lugha yake na kwanza wewe mwenyewe unajua ? Mbona mnahangaikla sana mara Zito, Mnyika, Dr Slaa nk, nyie vp?Kujua kutojua lugha hiyo wewe unapata faida gani? Achen unafiki jenga hoja zenye mana kwa jamii.

NB: Nenda kwenye jukwaa la udaku au magazeti huu,aloliumba Mungu hakuna wa kulizuia.
muulize kama lusinde anajua.
 
Maana sijawahi kumsikia anazungumza kiingereza ndio maana hata ziara za chama nje ya nchi huwa anakwepa

Hii thread imekaa kiain hujawahi kumsikia alafu una-conclude. Alafu mkuu nikufungue kitu, kwa Taarifa yako watoto wa Chekea Uingereza wanamzidi kuongea Kiingereza hata Rais wa China, ile ni Lugha tu Mbona Kikwete katoka nje ya nchi mara karibu 400 na nchi zaidi ya 100 je anajua Lugha ngapi?
 
Hahaha hahaha hahahaaaa !
Alifeli form 6 labda atakuwa anajua kuuliza " Question tag " tu
 
Maana sijawahi kumsikia anazungumza kiingereza ndio maana hata ziara za chama nje ya nchi huwa anakwepa

profilepic117935_1.gif


Avatar yako ipo hivi, tutegemee nini? ni kwanini humtendei haki huyo marehemu?
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom