Mzee Kigogo
JF-Expert Member
- Jun 3, 2018
- 8,365
- 13,672
Kampuni ya shujaa
Ndiyo hawa wanaomtukana Samia na January mitandaoni, wana UCHUNGU MKUU, Ambao hauna mwisho! Ulaji wao walikuwa wanaupatia Ujenzi na Uchukuzi & Nishati, Jiwe na watu wake wamekomba hela sana huko, Mother kapiga pini kaweka watu wake! WANAHASIRA HAOO BALAA, NI VILE HAWANA CHA KUFANYA, Maana wakileta chokochoko wananyooshwa, wamebakia kutukana kwa IDs fake mitandaoni, Nyambaf zao
Mkuu kumbe jibu unalo, liweke wazi basi.Unajua hawa masikini wengi walipewa kazi kwenye hiyo kampuni uchwara ili wajikimu, sasa taarifa nilizonazo zinasononesha sana
Jibu ulichoulizwaKwani billicanas ilikuwa ya nani na sasa yuko wapi?
Swali lingine la nyongeza,yule mwenye mayanga na kebby yupo wapi?Ni swali la nyongeza bwashee!
Ngerengere!Swali lingine la nyongeza,yule mwenye mayanga na kebby yupo wapi?
Sent from my TECNO CA7 using JamiiForums mobile app
Unajidhalilisha mkuu, bora ukae kimya kulinda heshima ndogo uliyobakiza.Swali la nyongeza!
Mkuu unajiweza sana, yaani unatumia muda na busara kumjibu huyo kima? Watu kama hao unawa ignore tu.Hes innocent until proven guilty , Sabaya unaweza kumuita JAMBAZI kwasababu mahakama imeprove pasina shaka ila Kesi ya Mbowe bado inaendelea.
Yupo kaburini ChatoMmiliki wa kampuni hii alikuwa nani na kwanini ni yeye tu alichukua kandarasi ya kujenga barabara nyingi nchini Tanzania?
Leo yuko wapi?
Soma pia - Kampuni inayojenga Uwanja wa ndege Chato, Mayanga Construction inamilikiwa na nani na ilipataje tenda hiyo?
mama mbea weweKwani billicanas ilikuwa ya nani na sasa yuko wapi?
Umefura!Unajidhalilisha mkuu, bora ukae kimya kulinda heshima ndogo uliyobakiza.
Mkuu mbona ni swali rahisi tu mdau kauliza lakini wew umepanic kiboya, ukimjibu au ukikaa kimya kama huna jibu bado hupungukiwi kitu, acha ku act kama Sukuma gangPunguza wivu kaka, hata ukimjua mmiliki wa Mayanga hutoweza kupunguza ukali wa maisha uliokuzunguka. Kwa sasa ningekushauri uendelee kuzungumzia na kutuletea kinachojili katika kesi ya mbowe huku kwingine unapuyanga.
Bilicanas ilikuwa inapewa tenda za ujenzi wa barabara viwanja vya ndege?Kwani billicanas ilikuwa ya nani na sasa yuko wapi?
Seriously haya ndiyo majibu yakoUmefura!
Yupo ana V8 nyeusi ni mpwa wa Magufuli sasa kama kachoka hiviNimeuliza Mayanga tu
Hapana ana akili sana kwa kuwa amekujibu kwa saizi ya akili yako. You are too obvious mkuu. Una majungu sana. Huyo ndo kakuzidi. Eti unaita uzi.Huyo jamaa ni bwege sana, ana siku chache sana kabla sijamu ignore