Mafian cartel
JF-Expert Member
- Nov 19, 2021
- 4,209
- 7,779
Kuna namna hapo
Una shida ya Afya ya akili! Wakikuwahi utapona!Nimeenda ofisi Fulani kupeleka barua kuhusu mambo Fulani.
Secretary kwa mapozi ananijibu barua hii itachukua mwezi kujibiwa.
Nikamuuliza utanisaiidiaje Sasa anasema Hana msaada wowote anachukulia poa.
Wakati maombi ya barua yangu yanahitaji wiki ili kutekelezwa
Naona ananipandishia sauti juu nikuambie oya sikia nipe barua yangu ntapeleka mwenyewe.
Anagoma nikamwambia oya wewe nipe barua huku kichwa na Macho mekundu...amenipa
Sasa nipo ofisini kwa mkuu wake ili anisaidie kiukweli ninasumbuliwa na ugonjwa wa hasira naweza hata kumfumua makofi
Katika hilo nakuunga mkono.Nikikuta ofisi yoyote ina mwanamke huwa naondoka mara moja, sihitaji hata kuzungumza nae maana mwisho wa siku nitamtandika mabanzi kisha nidakwe na GESHI RA PORISHI.
Wana nyodo sana, sura zenyewe zimesawajika kwa mikorogo hafifu. Wanatia huruma sana.
Mshahara wenyewe RAKI MBIRI.
Cc: Lamomy cocastic Mbaga Jr secretarybird Poor Brain Lucas Mwashambwa Tlaatlaah Kalpana Saint Anne
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🫡🫡🫡🫡 Yaani kwambaNikikuta ofisi yoyote ina mwanamke huwa naondoka mara moja, sihitaji hata kuzungumza nae maana mwisho wa siku nitamtandika mabanzi kisha nidakwe na GESHI RA PORISHI.
Wana nyodo sana, sura zenyewe zimesawajika kwa mikorogo hafifu. Wanatia huruma sana.
Mshahara wenyewe RAKI MBIRI.
Cc: Lamomy cocastic Mbaga Jr secretarybird Poor Brain Lucas Mwashambwa Tlaatlaah Kalpana Saint Anne
Ila wizzo, 😂😂😂😂😂Nikikuta ofisi yoyote ina mwanamke huwa naondoka mara moja, sihitaji hata kuzungumza nae maana mwisho wa siku nitamtandika mabanzi kisha nidakwe na GESHI RA PORISHI.
Wana nyodo sana, sura zenyewe zimesawajika kwa mikorogo hafifu. Wanatia huruma sana.
Mshahara wenyewe RAKI MBIRI.
Cc: Lamomy cocastic Mbaga Jr secretarybird Poor Brain Lucas Mwashambwa Tlaatlaah Kalpana Saint Anne