Zero Hours
JF-Expert Member
- Apr 1, 2011
- 12,944
- 18,654
Nashindwa kuamini kama kweli USA inaweza kukubali watu wake wauwaee kama kuku kiasi hiki. Hadi watu elfu 4 kwa siku sio kitu cha mchezo. Maana yake ni kuwa mji ungekuwa buzy day and night kukusanya maiti kila kona.
Wasijekuwa wanatudanganya ili kuuwa uchumi wa nchi zetu maskini.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wasijekuwa wanatudanganya ili kuuwa uchumi wa nchi zetu maskini.
Sent using Jamii Forums mobile app