Full charge
JF-Expert Member
- Mar 1, 2018
- 1,550
- 1,422
Habari wakuu,mimi si mwanasiasa wala mchambuzi wa masuala ya kimataifa bali tu nataka kufahamu.
Naomba kuuliza kuhusu utoaji wa misaada ya kiutu kati ya Palestina na Israel ambayo hutolewa na umoja wa mataifa au taasisi zenye dhamana ya kufanya hivyo.
Je msaada huu hupewa wana wa Israel pekee au na wapalestina wanapewa sawa? Kama jibu ni hapana basi mgogoro huo waweza kuwa ni maslahi ya nchi kubwa za Magharibi (Marekani na washirika wake) Naitwa Deusi sifungamani na upande wowote
Sent from my SM-G950U using JamiiForums mobile app
Naomba kuuliza kuhusu utoaji wa misaada ya kiutu kati ya Palestina na Israel ambayo hutolewa na umoja wa mataifa au taasisi zenye dhamana ya kufanya hivyo.
Je msaada huu hupewa wana wa Israel pekee au na wapalestina wanapewa sawa? Kama jibu ni hapana basi mgogoro huo waweza kuwa ni maslahi ya nchi kubwa za Magharibi (Marekani na washirika wake) Naitwa Deusi sifungamani na upande wowote
Sent from my SM-G950U using JamiiForums mobile app