katoto kazuri
JF-Expert Member
- Feb 10, 2018
- 6,083
- 5,659
- Thread starter
- #101
Kumbe hujui nilichomfanya??Mkienda takukuru mkawaeleza mkasa mzima wanaweza kuweka mtego na kumpata hiyo Manager na tuhuma za rushwa ya ngono
Kumbe hujui nilichomfanya??Mkienda takukuru mkawaeleza mkasa mzima wanaweza kuweka mtego na kumpata hiyo Manager na tuhuma za rushwa ya ngono
Mdogo hagongwi?Nitafanya hivi huyu mtoto bado mdogo sana anamuharibu kiakili
Ndio
Acha maneno ya shombo bwana kaomba mawazo yetu mpeleke dada ako basi ili amwache dada wa mwinzioampe tuu kwani maana hatoondoka nayo
Suka mipango akamatiwe guest house siku izi bonge la dili takukuru ata ela ya taxi watakupa mlostishe bwege uyoMdogo wangu yupo kwenye kampuni halafu ameshaniletea matatizo Manager wake anamtaka taka na yeye hana muda naye. I mean hawaendani; amemsumbua kuanzia mwezi wa kwanza hadi huu wasita na mpaka now amempa matatizo kabisa.
Sasa leo kaja home kasema haendi tena shughulini kisa huyo Manager, sasa mimi nifanyaje, na kazi kupata ni shughuli?