M Mr. Verossa JF-Expert Member Feb 21, 2013 571 286 Jul 8, 2016 #1 Nimeyamiss sana majipu yanayotumbuliwa na mkuu wa kaya naona kimya kimetawala inamaana majipu yameisha kweli?
Nimeyamiss sana majipu yanayotumbuliwa na mkuu wa kaya naona kimya kimetawala inamaana majipu yameisha kweli?
B bitimkongwe JF-Expert Member Oct 21, 2009 7,372 6,830 Jul 8, 2016 #2 Subiri utumbuliwe wewe au wako wa karibu kama mzazi au ndugu ndiyo utaona raha yake
M Mr. Verossa JF-Expert Member Feb 21, 2013 571 286 Jul 8, 2016 Thread starter #3 bitimkongwe said: Subiri utumbuliwe wewe au wako wa karibu kama mzazi au ndugu ndiyo utaona raha yake Click to expand... mkuu mie siwezi tumbuliwa nina ufanisi kazini
bitimkongwe said: Subiri utumbuliwe wewe au wako wa karibu kama mzazi au ndugu ndiyo utaona raha yake Click to expand... mkuu mie siwezi tumbuliwa nina ufanisi kazini
DALA JF-Expert Member Aug 24, 2009 2,212 4,517 Jul 8, 2016 #5 Mr. Verossa said: nimeyamiss sana majipu yanayotumbuliwa na mkuu wa kaya naona kimya kimetawala inamaana majipu yameisha kweli? Click to expand... Urais siyo kazi ya siku mbili. Inahitaji hazina kubwa ya hekima ili kubaki kwenye mstari. Inahitaji mikakati endelevu zaidi ya yote maono. Hakukua na maono kwenye maamuzi tajwa
Mr. Verossa said: nimeyamiss sana majipu yanayotumbuliwa na mkuu wa kaya naona kimya kimetawala inamaana majipu yameisha kweli? Click to expand... Urais siyo kazi ya siku mbili. Inahitaji hazina kubwa ya hekima ili kubaki kwenye mstari. Inahitaji mikakati endelevu zaidi ya yote maono. Hakukua na maono kwenye maamuzi tajwa