Resilience
JF-Expert Member
- Jan 4, 2023
- 879
- 4,111
Nchi imevurugwa, mkuu wa Wilaya ya Handeni alitafuta popularity kwa bibi wa Taifa mama Tibaijuka; bibi wa Taifa alijibu once then ila Msando amezungumza hadi maneno yameisha
Nadhani hakujiandaa, sasa hivi ameona athibitishe hoja za kuuzwa bandari kwa mavazi yake ya mahafali may akiamini watu wamepuuza hoja zake kwa kuwa hawana uthibitisho kama kweli alihitimu
Vijana mnaoelekea uzeeni tengenezeni legacy zenu wenyewe siyo kuishi maisha ya wazazi wenu. Usijitutumue tu kwa sababu umeamua kujitutumua; tuliza akili. Watoto wa JK, Nyerere, Kinana, Mkapa wametulia kwenye hoja ya DP world Kwa sababu awajajua itaishia wapi; wao wanasubiri good news to siyo contradictory news....
Msando bado ujasema
Nadhani hakujiandaa, sasa hivi ameona athibitishe hoja za kuuzwa bandari kwa mavazi yake ya mahafali may akiamini watu wamepuuza hoja zake kwa kuwa hawana uthibitisho kama kweli alihitimu
Vijana mnaoelekea uzeeni tengenezeni legacy zenu wenyewe siyo kuishi maisha ya wazazi wenu. Usijitutumue tu kwa sababu umeamua kujitutumua; tuliza akili. Watoto wa JK, Nyerere, Kinana, Mkapa wametulia kwenye hoja ya DP world Kwa sababu awajajua itaishia wapi; wao wanasubiri good news to siyo contradictory news....
Msando bado ujasema