Wadiz
JF-Expert Member
- Nov 10, 2022
- 5,561
- 11,443
Hello,
Mimi kama Wadiz a.k.a Baharia
Naumia sana na roho mbaya, majidai na dharau za za baadhi ya Madaktari kwa wagonjwa ni kero tishio, baadhi wanajikuta sana hadi najiuliza hivi hawa wana kinga ya kuumwa na kufa, au wana bima ya uhai wa maisha yao.
Kuna wimbi la kutuandikia madawa lundo ya kutuangamiza, kusudi tu ili wauze ofisi zao ziuze dawa, hawana huruma na hawana hofu ya Mungu.
Jamani ni hatari sana hii dunia na maisha ya sasa, baadhi yao wanaharibu mbususu za Dada, mama, shangazi, wake nyakati za kujifungua wanaongezea njia kubwa makusudi kuharibu tu mbususu kisa wivu tu.
MDs jueni kuna Mungu hukumu ni hapa hapa.
Wadiz
Mimi kama Wadiz a.k.a Baharia
Naumia sana na roho mbaya, majidai na dharau za za baadhi ya Madaktari kwa wagonjwa ni kero tishio, baadhi wanajikuta sana hadi najiuliza hivi hawa wana kinga ya kuumwa na kufa, au wana bima ya uhai wa maisha yao.
Kuna wimbi la kutuandikia madawa lundo ya kutuangamiza, kusudi tu ili wauze ofisi zao ziuze dawa, hawana huruma na hawana hofu ya Mungu.
Jamani ni hatari sana hii dunia na maisha ya sasa, baadhi yao wanaharibu mbususu za Dada, mama, shangazi, wake nyakati za kujifungua wanaongezea njia kubwa makusudi kuharibu tu mbususu kisa wivu tu.
MDs jueni kuna Mungu hukumu ni hapa hapa.
Wadiz