tutafikatu
JF-Expert Member
- Dec 17, 2011
- 3,246
- 4,467
Kama ni mkeo wamsemea, ujue wao wanapenda sana. Wewe jidanganye tu kuongea hisia zako.😂Hivi nyie Madaktari hamna njia mbadala ya kupima njia ya uzazi ya mama wajawazito tofauti na kudumbukiza mkono mzima kwenye vidudu vya wake zetu?
Hiyo njia yenu ya kuingiza mikono kwenye uke inawaumiza na inawakera wajawazito wengi sema tu hawana jinsi.
Tafuteni njia mbadala.