swagazetu
JF-Expert Member
- Nov 28, 2013
- 4,253
- 1,475
"Baada ya kugundua kuwa ule mkataba hauwezi kutufikisha pazuri niliita makatibu na mawaziri nikawambia mimi ni mtaalamu wa kuvunja mikataba mibovu,naomba na huu niuvunje,nikawasiliana na viongozi wa juu(rais) na baada ya masaa machache mjumbe akatuletea majibu kuwa mkataba huu usivunjwe"
»»Iifahamike nukuu hii si neno kwa neno.
je nani hapa anahusika?
»»Iifahamike nukuu hii si neno kwa neno.
je nani hapa anahusika?