kwa hiyo kuanzia leo lowasa co fisad tena?
Slaa kasahau alivyokuwa anamponda lowasa, ha ha ha ha ha kweli Hui team kigeugeu
kwa hiyo kuanzia leo lowasa co fisad tena?
Inatakiwa ukapimwe akili mwafrika,unajua utumwa au mavi imekubana?nchi ni huru kama umekerwa na uongozi jiandikishe halafu Pig is Ukawa,kama wewe ni mtumwa ni ujinga wako,wengine hatujaajiriwa tumejiajiri.
2 different things:.1.EL alikuwa anatuhumiwa kwa ufisadi....2..EL alikuwa fisadi!
La kwanza hapo ndo sahihi na leo kasema hapo mwenyewe that yeye alitaka mkataba uvunjwe ila mkubwa kasema NO!...so mhusika mkuu hapa ni kikwete na sio lowasa.
Conclusion...Lowassa si fisadi
....mkulu ni fisadi (kwa mantiki hiyo)
viongozi wa juu ndo mafisadi. teh! JK anajamba tu saa hizi.Kwa hiyo Lowasa si fisadi tena?
Lowasa kachanganyikiwa. Ndo maana alikuwa anajiuma uma
Lowasa kachanganyikiwa. Ndo maana alikuwa anajiuma uma
viongozi wa juu ndo mafisadi. teh! JK anajamba tu saa hizi.
"Baada ya kugundua kuwa ule mkataba hauwezi kutufikisha pazuri niliita makatibu na mawaziri nikawambia mimi ni mtaalamu wa kuvunja mikataba mibovu,naomba na huu niuvunje,nikawasiliana na viongozi wa juu(rais) na baada ya masaa machache mjumbe akatuletea majibu kuwa mkataba huu usivunjwe"
»»Iifahamike nukuu hii si neno kwa neno.
je nani hapa anahusika?
Lowasa kachanganyikiwa. Ndo maana alikuwa anajiuma uma
Tumwagie ushahidi kuwa Lowasa ni fisadi au anahusikaje na Richmond?Kwa hiyo Lowasa si fisadi tena?
Lowasa kachanganyikiwa. Ndo maana alikuwa anajiuma uma