Kigoma Independent
JF-Expert Member
- Dec 18, 2017
- 3,519
- 2,047
UmenenaNinaweza kupingana na Lipumba kwenye masuala ya kisiasa, lakini kuhusu shule yake siwezi kumpinga.
Nchi za Afrika zina matatizo mengi, mtu anaweza kuwa na elimu ya kutosha lakini akajikuta kazungukwa na wanafiki wengi, waongo na watu wenye roho mbaya ambazo hazina sababu.
~.A Philanthropist|Economist|Business Consultant|Entrepreneur|Agricultural Applied &Natural Resources Economics Mentor.~