Faana
JF-Expert Member
- Dec 12, 2011
- 31,876
- 33,308
🤣 😅Wanatuangusha sana wafanya biashara..what happened to uchumi wa viwanda?
Wafanyabiashara na wanasiasa na kilimokwanza yao wameharibu maana ya 88
🤣 😅Wanatuangusha sana wafanya biashara..what happened to uchumi wa viwanda?
Kama mtoto ni mdogo sana anaweza kusahau wanatakiwa waandike ka memoKatoto kenyewe kako KG 1, hizi shule siku hizi tuna walimu wavivu sana wa kazi inaonyesha
Kuna umuhimu kweli wa kulizingatia hiliKama mtoto ni mdogo sana anaweza kusahau wanatakiwa waandike ka memo
Mkuu mm nilikuwa sijui chochote nimekuduka tu asubuhi hii ndo napata taarifa leo ni mapumzikoSwali la kimasihara lkn linamaana
Wangu hawajaenda ila kuna watoto nimewaona wa kama la saba wakiendaHuko wameenda??
Itakuwa wanajiandaa na pepa la taifaWangu hawajaenda ila kuna watoto nimewaona wa kama la saba wakienda
HuendaItakuwa wanajiandaa na pepa la taifa
Haikuwa Open sana hata sabasaba sijui wameenda huko???Mkuu mm nilikuwa sijui chochote nimekuduka tu asubuhi hii ndo napata taarifa leo ni mapumziko
Kwa kumbukumbu zangu naona kama vile sabasaba ilishasahailika na badala yake tuna nanenaneHaikuwa Open sana hata sabasaba sijui wameenda huko???
Hapana, 88 inaonyesha zaidi zana za kilimo na mashine mbali mbali. Sie wafanyabiashara ndogondogo zisizoeleweka tunafanya kunogesha maonyesho🤣 😅
Wafanyabiashara na wanasiasa na kilimokwanza yao wameharibu maana ya 88
kwahiyo lazima watambue bidhaa zenu ndogo ndogo?Hapana, 88 inaonyesha zaidi zana za kilimo na mashine mbali mbali. Sie wafanyabiashara ndogondogo zisizoeleweka tunafanya kunogesha maonyesho
Kwani anakula nyumbani kwako mpaka ujue hana ela?Tafuta pesa achana na mamabo yasiyokuhusu
Lengo zaidi ni zana za kilimo, tupo sie wenye bidhaa handmade mchanganyiko huwa tunapata fursa ya kuonyesha bidhaa zetu.kwahiyo lazima watambue bidhaa zenu ndogo ndogo?
Safi sanaLengo zaidi ni zana za kilimo, tupo sie wenye bidhaa handmade mchanganyiko huwa tunapata fursa ya kuonyesha bidhaa zetu.
🤣 🤣kwahiyo lazima watambue bidhaa zenu ndogo ndogo?
🤣😅Sie wafanyabiashara ndogondogo zisizoeleweka tunafanya kunogesha maonyesho