Hivi leo hii ukiulizwa utajibu wangapi?

Hivi leo hii ukiulizwa utajibu wangapi?

Mr Mr

Member
Joined
Sep 25, 2013
Posts
34
Reaction score
8
Wapendwa habari za leo. natumai kwa mapenzi yake mungu mu wazima wa afya. Nawaulizeni hivi leo hii ikitokea umeulizwa na mkeo/mpenzi wako/mmeo swali hili utajibu wangapi? "HIVI MME/MKE/MPENZI WANGU HUKO NYUMA KABLA YA KUWA NA MIMI ULISHAKUTANA NA WATU WANGAPI KATIKA MAHUSIANO NAO KIMAPENZI?" jamani nawaombeni tulijibu hilo swalizuli. karibuni uwanja upo wazi.
 
Nitamwambia usiishi past.........wewe tuendelee na present........tukitafuta future..........
nikimwambia nilikuwa na full Airbus itamsaidia nini.........?........kwanza swali gani hilo............
 
Kuna Mmoja Alitaja 45 kwa Sababu hakutaka kumficha Mpenzi wake.. Kilichotokea Jamaa Akipigiwa ni kukata simu na U busy kuwa Mwingi..

Mwishowe katimua
 
Haina haja ya kufukua makaburi... Waache marehem (past) wapumzike... We deal with the present and the future! Period.
 
Nitamwambia usiishi past.........wewe tuendelee na present........tukitafuta future..........
nikimwambia nilikuwa na full Airbus itamsaidia nini.........?........kwanza swali gani hilo............

mbona unakuwa na jaziba? inamana hujawahi ulizwa swali hilo? au just tu umeandika iliuonekane nawe umechangia?
 
Haina haja ya kufukua makaburi... Waache marehem (past) wapumzike... We deal with the present and the future! Period.

katika mahusiano ni lazima itatokea siku mtazungumzia story zenu mbalimbali zilizopita na yawezekana mkaligusia swala kama hilo. je utsema ulishakuwa na wangapi?
 
Treni langu au lake la mapenzi limefikia mwisho na kituo ni mimi na yeye ni kwangu once for all
 
Wapendwa habari za leo. natumai kwa mapenzi yake mungu mu wazima wa afya. Nawaulizeni hivi leo hii ikitokea umeulizwa na mkeo/mpenzi wako/mmeo swali hili utajibu wangapi? "HIVI MME/MKE/MPENZI WANGU HUKO NYUMA KABLA YA KUWA NA MIMI ULISHAKUTANA NA WATU WANGAPI KATIKA MAHUSIANO NAO KIMAPENZI?" jamani nawaombeni tulijibu hilo swalizuli. karibuni uwanja upo wazi.

Wa 133,254.
 
Hilo swali mimi ningepata zero, sababu nimeshakuwa na watu wengi kwenye mahusiano, hadi wengine siwakumbuki kwa sura wala msjina, coz nimeshakuwa na mahusiano ya kindugu, kiujirani, kirafiki , kidini yaani na mahusiano mengi, sasa kama wanafunzi wote nilosoma nao nilikuwa na mahusiano nao ya ki anafunzi hapa jibu sinaa, sikumbuki idadi
 
Back
Top Bottom