Mafwi Munda
JF-Expert Member
- Nov 30, 2017
- 1,750
- 1,599
- Thread starter
-
- #81
Tuendelee kueleweshana mkuu, hii Laana haieleweki kabisa.Mshua
Yaani sentensi yangu ya pili nimeikataa kabisa ile definition ya kutoka sentensi yangu ya kwanza.Definition yangu ni very abstract,ni hypothetical ambapo kiuhalisia si kweli...
Unachokisema ni sawa kabisa.Ni ishu very subjective,na kitu kishakua subjective kinakua si halisi kabisa.
Laana ni kitu kisichokuwepo kiukweli...Ni hypothetical belief tu mkuu.
Yaani nakuelewa sana jembe!
Hahaha karibu tuendelee kuchangia, tueleweshane zaidi.
Ni matokeo ya dhambi.Tuendelee kueleweshana mkuu, hii Laana haieleweki kabisa.
Laana ni nini?!ipo wapi na inafanyaje kaziTubu mapema ww na uombe msamaha haraka sana kwa ulie/ulio wakosea kabla kiama hakijabisha hodi mlangoni mwako.
Haishauriwi kulaani ila kwa wale watu wa Mungu wanaweza ila sio vzuri... kwa maana hakuna aliemkamilifu so ni bora kusamehe na kutenda mema zaidi...
Mungu pekee ndie anaepaswa kuhukumu!
Laana ipo na inafanya kazi vizuri tuu iwe unaamini au huamini.
Hahaha unanichanganya sielewiNi matokeo ya dhambi.
Kama uliwahi mdhulumu mtu basi na ww utalipwa kiaso hicho hicho ulichodhumu, inaweza kuwa sawa sawa na dhuluma uliyofanya au adhabu ikaja kwa njia nyingine.Laana ni nini?!ipo wapi na inafanyaje kazi
Dini gani ww?Hahaha unanichanganya sielewi
Sina dini mimi ndio natafutaDini gani ww?
Hahaha laana ni adhabu?! Sasa kwanini inaitwa laana?!Kama uliwahi mdhulumu mtu basi na ww utalipwa kiaso hicho hicho ulichodhumu, inaweza kuwa sawa sawa na dhuluma uliyofanya au adhabu ikaja kwa njia nyingine.
NB:Laana inatoka kwa Mungu.
Ndo maana sasa huelewi pole sana. Nakushauri tafuta mtumishi wa Mungu akusaidie iwapo tuu moyo wapo uko tayari kuupokea ufalme wa Mungu.Sina dini mimi ndio natafuta
Pitia kwanza mafundisho ya Mungu mkuu. Sijajua una mipango gani kuhusu uweo wa Mungu ili tuweze kukusaidia...Hahaha laana ni adhabu?! Sasa kwanini inaitwa laana?!
Jamani eti laana ni nini?! Ni maombi au ni ni uchawi?! Huwa nasikia fulani kalaaniwa yule, usifanye hivyo utalaaniwa, usifanye hivyo utapata laana, utawala huu umelaanika, nakadharika. Laana ni nini?! Mtu aliyelaanika yukoje?! Nani hutoa au anauwezo wa kulaani?! Je laana ni ulizi/uchawi au maombi/dua mbaya kwa mtu, na je hizi laana pia hutolewa na mungu au ni mashetani au mizimu?! Nami naweza kumlaani mtu au nini vigezo vya kulaani na kulaaniwa?!
Hahaha nataka kujua laana ni nini, nani hutoa laana, kwa ruhusa ya nani kwa nini?!Pitia kwanza mafundisho ya Mungu mkuu. Sijajua una mipango gani kuhusu uweo wa Mungu ili tuweze kukusaidia...
Nitapitia nashukuru kwa ushauri wako.Pitia kwanza mafundisho ya Mungu mkuu. Sijajua una mipango gani kuhusu uweo wa Mungu ili tuweze kukusaidia...
Unaweza weka nyama kidogolaana ni mtazamo
Ukimtambua Mungfu ni pm tuyaongelee kwa kina.Hahaha nataka kujua laana ni nini, nani hutoa laana, kwa ruhusa ya nani kwa nini?!
Mtizamo sio?...laana ni mtazamo
JF ni huru, mungu wa pm huyo yupi tena?! Unamuogopa nani huku?!Ukimtambua Mungfu ni pm tuyaongelee kwa kina.
Mbona unatisha badala ya kuongea?! Tuambie mawazo yako, laana ni nini?!Mtizamo sio?...
Hujayashuhudia ww nakwambia