Hivi kweli wale mabikra 70 wapo kweli?

Hivi kweli wale mabikra 70 wapo kweli?

Zero IQ

JF-Expert Member
Joined
Dec 21, 2016
Posts
13,985
Reaction score
25,198
Jamani mwenye uhakika wa hii inshu aje anipe proof hapa kweli ukifa unaenda kupata mabikra 70?


Maana nina Usongo nao kinyamaaaa.
 
Jamani mwenye uhakika wa hii inshu aje anipe proof hapa kweli ukifa unaenda kupata mabikra 70?


Maana nina Usongo nao kinyamaaaa.

Mkuu kama ndo hivyo si kila mtu angekimbilia kifo ili apate pumziko jema
Maana madem wa Tz pasua kichwa 😒😒😒
 
Ni ki imani zaidi.
Na wanaoambiwa ni wale waliojitunzani maishani mwao bila ya kuzini na kikubwa ni kuwa wakiwa wanamuogopa Muumba wao.
 
Jamani mwenye uhakika wa hii inshu aje anipe proof hapa kweli ukifa unaenda kupata mabikra 70?


Maana nina Usongo nao kinyamaaaa.
Kufa kwanza halafu uje utusimulie kama kweli wapo au ni maneno tu ya watu.
 
Back
Top Bottom