Nimekuwa nikisoma na kusikia mipango ya serikali kuwa wanataka kujenga daraja kutoka Magomeni Mapipa mpaka fire.
Swali, huo ni ufumbuzi wa mafuriko hayo?
Kwanini hawajiulizi kuwa hayo maji nini kinayazuia yasiende baharini? Kwanini usichimbwe mtaro mpana nyuma ya Muhimbili ukaungana na salenda ili maji yaingie baharini?
Mito mingi ya Dar imezibwa isiishie baharini.
Wazee wa mipango miji, hamlioni hili?
Swali, huo ni ufumbuzi wa mafuriko hayo?
Kwanini hawajiulizi kuwa hayo maji nini kinayazuia yasiende baharini? Kwanini usichimbwe mtaro mpana nyuma ya Muhimbili ukaungana na salenda ili maji yaingie baharini?
Mito mingi ya Dar imezibwa isiishie baharini.
Wazee wa mipango miji, hamlioni hili?