Hivi kweli meza ni Dawa?

Hivi kweli meza ni Dawa?

Wakuu Shikamooni, mara kadhaa nimekua nikiugua na kupata maoni mbalimbali kama "MEZA DAWA" , hivi kweli Meza ni Dawa? Au wanataka kuniponza??
Nadhani upo kwenye 'utani mode' vinginevyo ni mtu ambaye hujasoma kabisa yaani ni kihiyo!

Hili neno 'meza' halijafungwa katika maana moja kwenye kiswahili.

Kuna 'meza' kitenzi na kuna 'meza' nomino.

Kwenye kumeza dawa limetumika kama kitenzi na siyo nomino kama unavyojitidinganya!

Ningelikuwa ni mwalimu, ningewalamba mboko sana wanafunzi vihiyo wenye makusudi kama wewe.
 
Back
Top Bottom