Hivi kweli Magufuli amempuuza huyu CCM kindakindaki

sirjohn

JF-Expert Member
Aug 6, 2014
767
678
Nani asiyemjua kada wa ccm wasra!

-JPM ameshindwa kumpatia ubunge mzee wetu wasira na kumpa uwaziri. hivi kweli ccm wamesahau ukindakindaki wa wasira

mimi nilikuwa naamini wasra ndiyo ccm na ccm haipo bila wasira panga pangua uwaziri anao lakini sijui imekuwaje, au mzee wasra nae ni JIPU .

Mzee alikuwa anajiamini huyo!

2. pamoja na kusaidia kufanya yake bunge la katiba bado SAMWEL SITTA amesahaulika katika serikali ya Pombe! siasa balaa
 
Sasa wewe mtoa post wengine wanawaza maendeleo wewe unawaza uchama. Huoni huo ni ujinga kabisa? Kwani kazi haziendi kwakua huyo kindakindaki wako hayupo?
 
Ha haaa haaaa...ccm ina wenyewe na wenyewe wanapatikana kwa kila zama... zama za JPM sio za hao wazee japo wana macho lakini hawakuona.... walikipenda chama zaidi ya watz na sasa wanaula wa chuya...
 
Kwanini wasipumuzike ..yaani wao ndo wajione wanajua tu kuliko vijana wa kisasa.acha wabaki kutoa ushauri kama akina warioba
 
Binafsi nimepata faraja kupumzishwa kwa huyu bingwa mstaafu wa uzito wa juu huko kanda ya ziwa.Tunapohitaji kumuua nyani hatuhitaji kumtazama usoni.
 
Tatizo wanang'ang'ania madaraka sana hadi wanasahau kua sasa ni zamu ya watoto ama wadogo wao. yaani hadi wengina wafie madarakani????? hawaoni tu walivyozeeka tayari na kuna dam changa zinataka kutake over ila mambo yaende fasta fasta!!!!!!!!!! wabaki hooooooooooooooooooooooooooooooooome, aaaaaaaaaala!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Acheni kupigia chapuo watu wasiofaa. Nchi hii tunataka ipige hatua kimaendeleo na ili lengo hilo lifikiwe ni budi tuongozwe na watu wenye mtazamo tofauti.

Unapomtazama Wassira anashindwa kujua kifungo cha koti kinafunga wapi ni ishara tosha akili imegota.

Unapoona Samweli Sitta aliyeshindwa kutofautisha tunu za taifa na maadili ya uongozi jtk katiba unataka atuongoze kutupeleka wapi. Mhr. Pombe Magufuli chapa kazi achana na viongozi wa enzi za mwalimu walioshindwa kuleta mabadiliko.
 
Mleta mada huo ukada kindakindaku wenu ndio ulio tufikisha hapa,hatuhitaji kubebana tena kwenye sahani kama mlivyozoea
 
Kwani mnapowanyima kura huwa mnamaanisha nini? Waendelee na siasa huku mmewanyima kura?
 
Wassira mwacheni apumzike jamani. Dah! Kapigwa chini na "msimbe" dah! Kure kwetu musoma hiyo ni aipuu kupwa mura. Ah! Sisani kama atarudiya tena
 
Endelea kulala! Kwa vile ni damudamu na ccm unataka alipwe fadhila kwa kupewa cheo ili awatumikie watz? Hao ambao wanaitetea ccm kuliko maslahi ya tz kama sita si muwapatie nafasi katika chama? Au mnafikiri Magufuli ndo Mwenyekiti wa ccm?
 
Back
Top Bottom