Azarel
JF-Expert Member
- Aug 25, 2016
- 26,101
- 34,053
Habarini Wadau,
Ninaomba kujuzwa kuwa sheria ya Tanzania inasemaje juu ya kuingiza baadhi ya vyakula kutoka Kenya kupitia border ya Namanga.
Ni ruksa kuimport Viazi, chai, Mayai, blue band, minced meat n.k ?
Na utaratibu wa kuingiza ukoje?
Natanguliza shukran.
Ninaomba kujuzwa kuwa sheria ya Tanzania inasemaje juu ya kuingiza baadhi ya vyakula kutoka Kenya kupitia border ya Namanga.
Ni ruksa kuimport Viazi, chai, Mayai, blue band, minced meat n.k ?
Na utaratibu wa kuingiza ukoje?
Natanguliza shukran.