Hivi ni kwa nini wanawake waliopata nafasi ya kupata elimu zaidi wengi wao wanaongoza kuwa na tabia zisizo nzuri za kimaadili, kama vile mavazi yasiyo ya kimaadili, umalaya. Hatimaye baadhi ya wanaume wameshasema hawataweza kuoa wanawake waliosoma elimu za vyuo vikuu kutokana na wengi wao kuwa na tabia mbaya wanapokuwa katika jamii. Je jf mwasemaje juu ya hilo?