Buzi Nene
Senior Member
- Feb 10, 2020
- 139
- 310
Wadau naomba kuuliza,
Mimi kwa kweli sipendi kabisa kupigiwa simu, hasa simu ambazo hazina ishu serious. Yaani unakuta mtu anakupigia simu hata mara tano, ukipokea anakwambia nilitaka kukusalimia tu, huwa najiuliza kwanini usitumie tu text mpaka upige simu?
Sababu ni nini haswa au kiwango cha elimu pia kisaendana na hii tabia?
Mimi kwa kweli sipendi kabisa kupigiwa simu, hasa simu ambazo hazina ishu serious. Yaani unakuta mtu anakupigia simu hata mara tano, ukipokea anakwambia nilitaka kukusalimia tu, huwa najiuliza kwanini usitumie tu text mpaka upige simu?
Sababu ni nini haswa au kiwango cha elimu pia kisaendana na hii tabia?