Lol... Swahiba unamwaga mchele!
Sina la kunipeleka mwenzangu, nasubiri siku ukienda ukweni unipe mwaliko ndugu yako....
Aiii kumbe anael mwenyewe msukuma!!! ndio maana anajifagilia loh ningeingia mkenge bureee! kwangu mie kabila si hoja, uzuri wa sura wala tabia kwangu sio sifa, mie kwangu mwanamume pochi bwana, maana kwa pochi lake anaweza akanunua chochote hata akili yako pia, matokeo yake hata kama akiwa na tabia mbaya pia utaiona nzuri ! akiwa na chongo utaona kengeza! kama haina nguvu atainunulia viagra alimradi tu vibweka vya pesa hivyo!
mimi ukitaka kunimaliza weka mwanaume wa kichaga,msukuma,mgita na mkurya hao viumbe bwana mi kwishney kabisa, kwanza sura zao tu ni za kiume.loh
Aaa bwana mimi Ndume. Ila yupo smile amesema huwa anakufa sana mfuatilie
Nimesoma sehemu sijui kama inaweza kuwa ni sababu mojawapo. Kabila la Kisumkuma ni mifano ya makabila ambayo wanawake wakiteleza na kuzaa nje ya ndoa, wazee wa Kisukuma walikuwa wastaarabu sana kwa kuwa walikuwa wakiwafichia siri wake zao hususan kwa kuwa walikuwa na msemo unaofanana na wa ndege kula mbegu za pera na kinyesi chenye mbegu kuangukia kwenye shamba la jirani na kuokota. Nimilija atina ngunda maana yake anayelima kibarua kwa mtu siyo mmiliki washamba.
Umesoma nae wapi bwana?
Kwakuwa huwa wamenyagi nanii zao.
Ndo mimi 5 - 6 PCM
wacha kugenerelaizi wewe wahaya na wachaga unawafahamu wote?Wanaume wakisukuma wanajua kumthamanisha mwanamke bwana asikwambie mtu pia wakishaoa hawana ile vunja vunja ndoa wavumilivu kwenye matatizo ,na pia hawana ubaguzi kwa ndugu kama wahaya na wachaga
Unataka kutuambia na JK ni msukuma?wanaume wakisukuma hawana maamuzi magumu