Hivi kwanini wanawake wengi wanapenda Wasukuma?

Emc2

JF-Expert Member
Sep 26, 2011
16,808
16,838
Nimekutana na wanawake wengi, na wanasema wanapenda sana wanaume wa kisukuma sijajua kwann wanapenda?
 
huwezi kusema wanawapenda kwa maana ya kuwa wana fall in love

wanawapenda kwa maana ya ku prefer.....hata kama sio love inahusika..

wasukuma ni wapole,wanapenda sifa ya matumizi
ni rahisi kudanganywa.....

ni every woman's dream kupata watu wa aina hiyo

hasa kama ni wanawake wanaopenda 'kumuweka mwanaume kiganjani'.....
 
Nasikia akina dada husema Wasukuma wanajua sana mapenzi, ukiwanaye kitandani anafanya kweli.
Pia wanajua sana kujari.
 
huwezi kusema wanawapenda kwa maana ya kuwa wana fall in love

wanawapenda kwa maana ya ku prefer.....hata kama sio love inahusika..

wasukuma ni wapole,wanapenda sifa ya matumizi
ni rahisi kudanganywa.....

ni every woman's dream kupata watu wa aina hiyo

hasa kama ni wanawake wanaopenda 'kumuweka mwanaume kiganjani'.....

Unauhakika na hayo unayosema au umeandika kujifurahisha tu?
 
huwezi kusema wanawapenda kwa maana ya kuwa wana fall in love

wanawapenda kwa maana ya ku prefer.....hata kama sio love inahusika..

wasukuma ni wapole,wanapenda sifa ya matumizi
ni rahisi kudanganywa.....

ni every woman's dream kupata watu wa aina hiyo

hasa kama ni wanawake wanaopenda 'kumuweka mwanaume kiganjani'.....
ila wana wivu hao mmh, utamuweka kiganjani lkn utakoma anakufuatilia weeee mmh.
 
wasukuma ni wapole,wanapenda sifa ya matumizi
ni rahisi kudanganywa.....

ni every woman's dream kupata watu wa aina hiyo

hasa kama ni wanawake wanaopenda 'kumuweka mwanaume kiganjani'.....

Tunakoelekea tutaanza kuandamwa kama wadada wa Kichaga wanavyoandamwa humu kila siku.

Nitajie Wasukuma wanaopenda sifa ya matumizi na walio warahisi kudanganywa.
 
Tena akina wanawake utawasikia kwenye pale Mwenge wakioshwa miguu wakisema. "Jamani sijawahi kukutana na mwanaume anayejua kutoa raha kwa mwanaume kamaniliye kutana naye jana" wapili atasema "atakuwa Msukuma huyo"
 
Tunakoelekea tutaanza kuandamwa kama wadada wa Kichaga wanavyoandamwa humu kila siku.

Nitajie Wasukuma wanaopenda sifa ya matumizi na walio warahisi kudanganywa.

nina uhakika by now
you are old enough na smart enough
kuelewa mapokeo ni nini..
sio lazima iwe 100 percent accurate....
ni mapokeo.....labda ilikuwa true 20 au 15 years ago,labda still ipo...
 
Wanaume wa kisukumu ni yes-men! Hawakatai chochote kutoka kwa wapenzi wao. Chochote anachokisema mwanamke ni lazima atakifanya. Kwa lugha nyingine ni kwamba, hawana msimamo. That's all what women want!!

Tatizo watu wengine mmezoa kwamba mwanaume kua na uso wa mbuzi ndio uanaume. Fungua akili, ruhusu elimu, pokea mabadiliko, kubali ukweli.
 
Back
Top Bottom