Hance Mtanashati
JF-Expert Member
- Sep 7, 2016
- 17,427
- 21,118
mkuu bado hujajibu swaliHata sisi vifua vingekuwa vinacheza basi tungekuwa tunatingisha,sema ndio hivyo marigaya
Anakula kwa macho tuLile tatizo lako la kutongoza umepona
duuh umenidindisha ghafla kwa komenti yakoNdio inanoga
Kiuno mixer makalio
Kwa kiasi fulani mkuuLile tatizo lako la kutongoza umepona
duhNdio uwezo wao wakucheza ulipoishia
Unajuaga sisi kule kwetu Kenya tunapendaga wadada wa kitz wakiwa wanatingisha yale mambo musuri kwa nyuma. Ni raha sana kuona yakitingishika kama bia kwa glasi kuona kama inakwisha.
Ni tangazo la biashara lile wanakuwa wananadi malighafi zao!Wakuu hii kitu inanishangaza sana hivi ni kwanini wanawake wakiwa wanacheza mziki lazima wainame iname kwani style nyingine hamna ?
Huwa nashangaa sana ,hivi hii inasababishwa na nini?
huu uzi bila kajivideo haunogi mkuu
Tehe tehe tehe atakuwa kapona na akapata wa kwenda kucheza nae mzikiLile tatizo lako la kutongoza umepona
Poa ngoja niweke videohuu uzi bila kajivideo haunogi mkuu
Wakuu hii kitu inanishangaza sana hivi ni kwanini wanawake wakiwa wanacheza mziki lazima wainame iname kwani style nyingine hamna ?
Huwa nashangaa sana ,hivi hii inasababishwa na nini?