Hivi kwanini wanawake hung'ang'ania udogo?

Hivi kwanini wanawake hung'ang'ania udogo?

Hawataki waonekane kuwa mashine zao zimesoma kilometa za kutosha
 
Umenikumbsha kitu mkuu kuna mama mmoja huyo ni nyumba ndogo ya dingi angu mzaz nliwahi kuifuma facebook ac yake nkajaribu kuptia profile lake nkabak mdomo waz baada ya kusoma ... DATE OF BIRTH DD/MM/1994 wakati huohuo firstborn wake amezaliwa 1993 nkasema huyu mama vp jaman who does she fool????
Anadanganya hv mpka kupitiliza kwa manufaa ya nan????
Lkn nkaufyata mpka leo ndio dinazed umefanya nkakumbka looooh kizaz muflis hiki kabisa

Andika Basi jina langu vyema Lo ni le superstars Dinazarde
 
Umeongea ukweli kabisa mkuu hata mimi mwanzo nilikuwa napata shida kweli na nilikuwa sijajua sababu mana kila mtu hataki kuonekana mzee shikamoo hawazitaki wanataka habari gani ila baada ya kujua sababu ndipo najionea sawa tu.

Ila huku mijini watu wa aina hiyo wamejaa na wala aibu hawaoni.
 
mkuu unaishi mtaan kwetu nini maana Luna mdada huku kwetu mkubwa saana ila anadai anamiaka 17 na sura imekomaaa mpka bac
 
Mie nshawazoea hao wanaopenda udogo,kuna mmoja alikuwa kero kwangu kila tunapoenda anataman kutangaza yeye ni mdogo kwangu(ana mwili mkubwa kunizidi na watoto juu)
Dawa yake nikawa namuwahi akianzisha story za umri mbele za watu namuita dogo(anafurahi kweli)
 
Mie nshawazoea hao wanaopenda udogo,kuna mmoja alikuwa kero kwangu kila tunapoenda anataman kutangaza yeye ni mdogo kwangu(ana mwili mkubwa kunizidi na watoto juu)
Dawa yake nikawa namuwahi akianzisha story za umri mbele za watu namuita dogo(anafurahi kweli)
Yes wapo vile kabisaa wanapenda udogo kumbe wakubwa kuliko
 
Halafu mi nashangaaga mbona uzee ni kitu normal tuu.

Hata hapa jf utashangaa mtu joining year 2007 bado ana jiita mdogo.
Hhhhhaaaaaw waliojiunga hiyo miaka ngoja wakukamatee usiniitee kukusaidia
 
Back
Top Bottom