Hivi kwanini wanawake hung'ang'ania udogo?

Hivi kwanini wanawake hung'ang'ania udogo?

Hapanaa kuna watu na waona huku tofauti na jf

Najua kuna wadada kutaja umri wao ni shida, kila siku wao ni wadogo tu... Ila humu jamiiforums pia wapo ndiyo maana nikasema kuna mtu anatafutwa...
 
Najua kuna wadada kutaja umri wao ni shida, kila siku wao ni wadogo tu... Ila humu jamiiforums pia wapo ndiyo maana nikasema kuna mtu anatafutwa...
Hata kama wapo humu haina shida ,maana wa humu ndio wa mitaani pia
 
Back
Top Bottom