hivi kwanini wanaume huwachoka wake zao?

glamour

Member
Jan 5, 2011
13
7
im really curious, kwanini wanaume huwachoka wake zao na kutafuta kazi za nje? kama wanawake tunaweza kuwa waaminifu kwanini nyie mshindwe?
mtu anakuzalisha alafu ukisha haribika mwili, anatafute waschan wadogo, inauma sana. au wanadhani wao hawa haribiki? hata wanaume hupata kitambi na kua na mwili mbaya but wanawake huvumilia na kuendelea kumpenda.
kuna solution ya hili, kumfanya mwenzako asikuchoke?
 
Duuu mbona ushatoa majibu,kwamba ashakuzalisha na kukuaribu so unategemea nini? Zamani ulikua still picha na mnato sasa umekua bwawa unadhani kuna flavor,lazima atafute dogo mbichi akonge roho yake kama vp jimantain ndio solution.
 
Wanawake wanapenda kuchokozwa, wanafurahi
Usipowachokoza wananuna

BTW, kuzaa si lazima uchoke
Mtoto akifikisha miaka 2, rudi kwenye mstari, acha kunywa mtori kisadolini

Wale wa nje wanajijali, hata wakizaa wanapiga mazoezi
Afu kupiga kazi za nje inaleta u-expert
Si unaona hata ukienda kufanya kazi hapo kongo tu unaanza kulipwa kwa madolari?

Uwe mbayuwayu, uchanganye na zako
 
im really curious, kwanini wanaume huwachoka wake zao na kutafuta kazi za nje? kama wanawake tunaweza kuwa waaminifu kwanini nyie mshindwe?
mtu anakuzalisha alafu ukisha haribika mwili, anatafute waschan wadogo, inauma sana. au wanadhani wao hawa haribiki? hata wanaume hupata kitambi na kua na mwili mbaya but wanawake huvumilia na kuendelea kumpenda.
kuna solution ya hili, kumfanya mwenzako asikuchoke?
wape wape vidonge vyao,wakimeza wakitema ni shauri yao..............................
 
Unapo sema wanaume in the percentage watakuwa wangapi vile? Mana kuna kosa kusema wanaume, mana kosa lako hapo mpaa baba yako atakuwa yupo kwenye hesabu zako ...unless uweke wazi kwa kusema baadhi ya wanaume.
 
Nitaanzisha Booty camp wanawake wote wenye haya matatizo wawe wanaenda wiki 6 mnapata ushauri nasaha na mazoezi mnakurupushwa alfajiri 5:00 kufanya mazoezi na hamna kulala mapema ni activities hadi 22:00 hrs ku maintain miili na kuongeza confidence.
 
im really curious, kwanini wanaume huwachoka wake zao na kutafuta kazi za nje? kama wanawake tunaweza kuwa waaminifu kwanini nyie mshindwe?
mtu anakuzalisha alafu ukisha haribika mwili, anatafute waschan wadogo, inauma sana. au wanadhani wao hawa haribiki? hata wanaume hupata kitambi na kua na mwili mbaya but wanawake huvumilia na kuendelea kumpenda.
kuna solution ya hili, kumfanya mwenzako asikuchoke?

Kwani mwanaume unapenda kitambi au ***** yake ambayo huwa haiharibiki.
 
Wanawake wanapenda kuchokozwa, wanafurahi
Usipowachokoza wananuna

BTW, kuzaa si lazima uchoke
Mtoto akifikisha miaka 2, rudi kwenye mstari, acha kunywa mtori kisadolini

Wale wa nje wanajijali, hata wakizaa wanapiga mazoezi
Afu kupiga kazi za nje inaleta u-expert
Si unaona hata ukienda kufanya kazi hapo kongo tu unaanza kulipwa kwa madolari?

Uwe mbayuwayu, uchanganye na zako
kweli kuna wanawake wanajua kujiachia,alikuwa mrembo akishaolewa hata kuoga ni kwa kulazimishwa.
na mwanamke ukishapigwa gap na uwanja wa nje imekula kwako
kuna mama mwenye nyumba yangu mume wake ni boss ofsi flani huko town yaani ukimcheki hzo kucha tu utazimia,anadai eti mumewe anarudi saa tisa usiku
sasa sijui anataka awai kwa lipi while mtu hadi saa nane usiku hajaoga
anadai eti vipodozi vina kensa
sasa mumewe anakula venye kensa basi
 
Kanuni ya maumbile itakuambia hakuna mtu mwenye kuridhika akishazoea kitu.Ni suala la kuushinda moyo tu. Kuna wanawake wengi tu warembo na waume zao hupiga kazi za nje kama kawa. Kuna wanaume wazuri na wema, na wake zao hupiga kazi za nje vile vile.
Hivyo vingine ni visingizio tu.Hujawahi ona mwanaume ana mke mrembo kama nini tena mwenye vigezo vyote and still mumewe anautembeza hadi unashangaa tena na wanawake wa hovyo kabisa.
Mtatafuta majibu na hamtakaa muyapate.
 
kweli kuna wanawake wanajua kujiachia,alikuwa mrembo akishaolewa hata kuoga ni kwa kulazimishwa.
na mwanamke ukishapigwa gap na uwanja wa nje imekula kwako
kuna mama mwenye nyumba yangu mume wake ni boss ofsi flani huko town yaani ukimcheki hzo kucha tu utazimia,anadai eti mumewe anarudi saa tisa usiku
sasa sijui anataka awai kwa lipi while mtu hadi saa nane usiku hajaoga
anadai eti vipodozi vina kensa
sasa mumewe anakula venye kensa basi
hahahhahahahahahhah! eti kensa..umenichekesha! nenoo
 
Tatizo mkizaa mapenzi yoooote mnahamishia kwa watoto. Unategemea nini?

sasa si nampenda mtoto wetu jamani?!! maana most men hawana hiyo karama ya kumuonyesha mtoto mapenzi yakutosha. to them mapenzi kwa mtoto nikumpatia mahitaji, mama kazi yake ni kumpa mtoto physical na emotional love
 
im really curious, kwanini wanaume huwachoka wake zao na kutafuta kazi za nje? kama wanawake tunaweza kuwa waaminifu kwanini nyie mshindwe?
mtu anakuzalisha alafu ukisha haribika mwili, anatafute waschan wadogo, inauma sana. au wanadhani wao hawa haribiki? hata wanaume hupata kitambi na kua na mwili mbaya but wanawake huvumilia na kuendelea kumpenda.
kuna solution ya hili, kumfanya mwenzako asikuchoke?

Hulka ya mtu, ushetani kumchoka mkeo adhabu yake kubwa sana kwa mola wetu!! Solution: uliombee/hata dawa ikibidi life uume , then halitakwenda huko!!!
 
Kwasababu wengi ukipita mwaka baada ya kuolewa au wakishazaa wanabweteka. Wanadhani ndio mwisho wa kupendeza, kujiremba, kuongea taratibu, kudeka, kumbembeleza mume n.k
Maisha yanakua kama jeshini. . . amri na malalamiko ndio vinatawala. Ikishakua hivyo hata hamu ya kurudi nyumbani mume anakosa.
 
Umesema kweli kabisa Lizzy, wamama wanajisahau sana jamani, ndo sababu mimi huwa nasema nyumba ndogo haziwezi kwisha

Kwasababu wengi ukipita mwaka baada ya kuolewa au wakishazaa wanabweteka. Wanadhani ndio mwisho wa kupendeza, kujiremba, kuongea taratibu, kudeka, kumbembeleza mume n.k
Maisha yanakua kama jeshini. . . amri na malalamiko ndio vinatawala. Ikishakua hivyo hata hamu ya kurudi nyumbani mume anakosa.
 
im really curious, kwanini wanaume huwachoka wake zao na kutafuta kazi za nje? kama wanawake tunaweza kuwa waaminifu kwanini nyie mshindwe?
mtu anakuzalisha alafu ukisha haribika mwili, anatafute waschan wadogo, inauma sana. au wanadhani wao hawa haribiki? hata wanaume hupata kitambi na kua na mwili mbaya but wanawake huvumilia na kuendelea kumpenda.
kuna solution ya hili, kumfanya mwenzako asikuchoke?

Tatizo ni moja mwanamke akisha olewa basi mambo yote anasahau ubunifu n.k ndo maana inafika kipindi mme anamchoka mwanamke
 
Hii kwa wanaume wa kiafrika ni nature, ukiangalia mila za makabila mengi africa ilikuwa wanaume wanaoa wake zaidi ya mmoja, mimi babu yangu alikuwa na wake watatu. Mpaka wazungu walipokuja na kutuambia haya ni mambo ya kishenzi, lakini bado dam ya wanaume wengi wa kiafrica ina vinasaba vya kuwa na wake wengi ndio maana ule mpango wa nyumba ndogo hautaisha kirahisi. mtuvumilie tu akina mama lol
 
Hii kwa wanaume wa kiafrika ni nature, ukiangalia mila za makabila mengi africa ilikuwa wanaume wanaoa wake zaidi ya mmoja, mimi babu yangu alikuwa na wake watatu. Mpaka wazungu walipokuja na kutuambia haya ni mambo ya kishenzi, lakini bado dam ya wanaume wengi wa kiafrica ina vinasaba vya kuwa na wake wengi ndio maana ule mpango wa nyumba ndogo hautaisha kirahisi. mtuvumilie tu akina mama lol
Babu yako mwanaume na siku hizi kupata wanaume kama hao ni tabu sana, yani wanaume wa siku hizi wanavyo ogopa wanawake we wacha tu....tumebaki wachache tunao weza kuwa kama babu yako na babu yangu :biggrin:

Hii kwa wanaume wa kiafrika ni nature, ukiangalia mila za makabila mengi africa ilikuwa wanaume wanaoa wake zaidi ya mmoja, mimi babu yangu alikuwa na wake watatu. Mpaka wazungu walipokuja na kutuambia haya ni mambo ya kishenzi, lakini bado dam ya wanaume wengi wa kiafrica ina vinasaba vya kuwa na wake wengi ndio maana ule mpango wa nyumba ndogo hautaisha kirahisi. mtuvumilie tu akina mama lol
Wewe wacha kudanganyika eti wazungu....Mzungu angekuwa na akili angetembea na mavi kwenye full sute yake, mzungu mpaa leo anachamba kwa kutimia karatasi badala ya maji :biggrin:
 
Back
Top Bottom