im really curious, kwanini wanaume huwachoka wake zao na kutafuta kazi za nje? kama wanawake tunaweza kuwa waaminifu kwanini nyie mshindwe?
mtu anakuzalisha alafu ukisha haribika mwili, anatafute waschan wadogo, inauma sana. au wanadhani wao hawa haribiki? hata wanaume hupata kitambi na kua na mwili mbaya but wanawake huvumilia na kuendelea kumpenda.
kuna solution ya hili, kumfanya mwenzako asikuchoke?
mtu anakuzalisha alafu ukisha haribika mwili, anatafute waschan wadogo, inauma sana. au wanadhani wao hawa haribiki? hata wanaume hupata kitambi na kua na mwili mbaya but wanawake huvumilia na kuendelea kumpenda.
kuna solution ya hili, kumfanya mwenzako asikuchoke?