Mchaga kwa asili yao hawapendi kutawaliwa na wanapenda kujitawala na kuwa huru. Hawapendi sana kuajiriwa, wanapenda kujiajiri wenyewe na akiajiriwa hufanya kazi sana na hupenda yeye ndiye awe kiongozi eneo hilo na anapokosa uongozi anatoka kwenda kuanzisha cha kwake na yeye kuwa kiongozi.
Ukimwajiri mchaga mpe nafasi afanye kazi , ukimbana tu anaondoka. Wanauza maduka sana kwa walio mijini na walio vijijini ni wakulima na wafugaji wa ndani wazuri sana. Hawana majivuno sana ni raisi sana kumkuta mchaga msomi anauza kiduka au anaendesha Bodaboda au analima.