Hivi kwanini mwarabu anamdharau mwanamke?

Hivi kwanini mwarabu anamdharau mwanamke?

Status
Not open for further replies.

Kakende

JF-Expert Member
Joined
Aug 18, 2012
Posts
2,741
Reaction score
1,233
Wadau kuna jambo huwa najiuliza lakini nakosa majibu, inafahamika kuwa uarabuni mwananke ananyimwa haki kama ilivyo kwa baadhi ya makabila Afrika. Lakini wenzetu waarabu wamezidi, kuzuiawa kuendesha gari Saudia inafahamika.

Mimi nilidhani kuwa wanawanyima haki kama ilivyo mfumo dume, lakini wao wamezidi. Huko Misri wasichana wanapigwa au kujeruhiwa wakionekana mtaani. Jana kwenye taarifa ya habari huko Parkistan imefikia hatua imebidi wawatafutie daladala zao peke yao. Wanawake walifurahia kupatiwa daladala specho kwa yao, wanalalamika kuwa wakipanda daladala za kawaida, yaani jinsia zote, wanaume uwatukana matusi, uwaonesha chuki kama vile wao si binadamu.

Sisi tunanyanyasa wanawake lakini si kiwango cha kutotaka kuwaona hata mtaani. Jambo la kujiuliza, hivi nani huwa anawazaa Waarabu, hawa si ndiyo mama zao ambao wamewatunza tumboni na kuwalea wakiwa hawajitambui. Any way, kwanini wanachukia wanawake kiasi cha kuwaona kama mbwa?. http://www.youtube.com/watch?v=r_hGOkYUUg0

Bus.jpg
 
Kwanza huo wote ni uonge.pili tofautisha uislam na waarabu.kuhusu Saudia kumnyima mwanamke kuendesha Gari hio ni sheria yao wameieka wenyewe kwa matakwa yao na sio Uislamu.Mimi nimeishi Misri hakuna msichana anaepigwa wala kunyanyaswa huo ni Uwongo wa wazi humdanganyi mtu.Labda Misri ya kwenu lakini sio Egypt .Usipoteze uhalisia wa jambo kisa Imani yako.
 
Kwanza huo wote ni uonge.pili tofautisha uislam na waarabu.kuhusu Saudia kumnyima mwanamke kuendesha Gari hio ni sheria yao wameieka wenyewe kwa matakwa yao na sio Uislamu.Mimi nimeishi Misri hakuna msichana anaepigwa wala kunyanyaswa huo ni Uwongo wa wazi humdanganyi mtu.Labda Misri ya kwenu lakini sio Egypt .Usipoteze uhalisia wa jambo kisa Imani yako.

Mimi sijataja dini ya mtu, huku kwetu sijaona dini inayonyanyasa. Nimesema mwarabu

Caught on Video: The Mere Presence of This ‘Blonde Woman' at Cairo University Sparks a Sickening Incident | Video | TheBlaze.com
 
Uislam ni unyama. Mtu akimdharau mama yake au mtu sawa na mama yake utamuitaje ?

Kijana hivi katika maisha uloleleka kwa wazazi wako na imani ya dini yako ndo yakutuma kuonesha UPUMBAVU NA USHAITWAANI wako hapa...?

Shika adabu usilete akili za KIKAHABA hapa jamvini.

Wamjadili mtu au waujadili Uislaamu...?!

Shwaitwaani si lazima awe na asi ya kijini, hata weye waezaukawa Shaitwaani na ukamzidi Shaitwaani kwa matendo yako.

Ntakurejea.
 
Katika uislam mtoto amefundishwa kumtukuza mama yake mara tatu zaidi y baba yake.Sasa nashangaa unavyosema kuwa uislam unakandamiza mwanamke.Shame you.

Sijasema mwislam ndugu, nimesema mwarabu, au sijui maana ya mwarabu. Pia nimekuwekea evidence lakini utak kuelewa
 
Uislam ni unyama. Mtu akimdharau mama yake au mtu sawa na mama yake utamuitaje ?

AM sry for telln you this,YOU ARE MIND SPOILED. Uislam umekuja kuzuia biashara ya utumwa,uislam umekuja kumpa mwanamke haq yake,uislam umekuta mama anapjwa na mtto wake uislam ukakataza,uislam umekuta mtto wa kike hana thaman anazikwa mzima mzima ,uislam ukaharamisha,uislam umekuta mama akifiwa na mume bas hana mirath uislam ukaja na kutoa fungu lake kwa mjane ,mfuas wa muhammad saw alienda na zawad kw mtume na kumuuliza je nimpe nan kat ya mama na baba,mtume alijbu MAMa,kisha akaulza tena nan,akasema. MAMA,jibu moja tu ndo likawa baba,mama kapewa thaman ktk uislam,tatzo lenu hamsom na mnachanganya sana kat ya uarabu na uislam,uislam si uarabu,kwaiyo muarab akifanya ushenz haimaanish uislam ndo unataka ivo,uislam upo mbal sn na uarabu,km kwel unataka kujifunza bas soma utapata ukwel usikubal kuhadithiwa
 
Sijasema mwislam ndugu, nimesema mwarabu, au sijui maana ya mwarabu. Pia nimekuwekea evidence lakini utak kuelewa
Juzi juzi tu hapa mtu alipost profesa afumaniwa na mabint wawili SUA.je hao waarabu na imani yao ilikua kama yako.Sometimes think thrice.
 
Kabla ya kuutukana,kuubuza,kuupaka matope Uislam hebu usome kwanza.Ndo utajua ukweli.sio mnakaa na chuki zenu mlizopandishwa na viongozi wenu wa Ibada then you just follow them.
 
Mabwege tu hao wanaouzungumzia uislamu wasioufahamu. Mbona hawazungumzii kashfa ya mapadri wa kikatoliki kulawiti watoto? Mbona hawazungumzii mapadri wa kianglikana kuolewa na wanaume wenzao? Mbona hawazungumzii mabasha wao wa kizungu kuhalalisha ndoa za kisodoma na gomola?. Uislamu ni dini ya haki. Isomemi na sio kuzunhumza kwa mafikirio ya mapadri na makakasisi wenu. Muigeni aliyekuwa PAPA aliyestaafu baada ya kuujua vizuri uislamu. Papa aliamua kuingia msikitini mjini instabul uturuki na kusaliswa na waisalamu. Alipomaliza sala, AKAAMUA KUACHANA NA UKRISTO KWA KUTANGAZA KUSTAAFU. Nj
 
Kila nchi inasheria zake kama saud wanakataza wanawake wasiendeshe gari hiyo ni sheria yao na wanasababu zao za kuiweka hiyo sheria. Lakini kuna nchi nyingi za kiarabu wanawake wanafanya kila anacho fanya mwanaume mfano Oman, uae,Jordan Sirya nk sasa usi hukumu au kushutumu nchi zote za kiarabu kwa sheria ya nchi fulani ya kiarabu. Naakushauri tafuta mwanamke aliewahi kuishi nchi za kiarabu umuulize jisi gani wanavyo tukuzwa na kuthaminiwa.Wapo wanawake wa Fm academ waliwahi kuishi uae na oman kikazi watafatu uwaulize.
 
Unaushahidi gani?Hakuna dini duniani inaomthamini mwanamke kama uislam.

Katika vitu vinavyokata swalat ni mbwa mweusi au mwanamke akipita mbele za mwanaume anayeswali. Je huku ndiko kumthamini?
 
Status
Not open for further replies.

Similar Discussions

Back
Top Bottom