Desolver jr
New Member
- Sep 19, 2017
- 3
- 3
Hivi kwann marekani ndo inawawekea vikwazo nchi zingine zinazozingua mfano iran,kwann sio nchi zingine ndo zifanye hvyo?, au hakuna kitengo cha kimataifa cha kufanya hvyo?, je kama hao marekani wakizingua vikwazo atawawekea nani?, au watajiwekea wenyewe?.
Naombeni ufafanuzi wana jf juu ya hilo.
Naombeni ufafanuzi wana jf juu ya hilo.