Hivi kwanini Maprofesa wengi ni wazee?

Hivi kwanini Maprofesa wengi ni wazee?

Swali lako majibu unayao but ngoja nikujibu , professor siyo elimu kama unayoijua mfano kama chekechea ,primary , secondary , certificate ,degree nakadharika ,professa ni Elimu kubwa ambayo pia upatikanaji wake Una sitaili yake ,,vijana wengi tunakumbwa na Mambo kadhaa ambayo ni vigumu kumkuta kijana ni professor 1.majukumu tunayozongwa nayo mfano unahitaji uoe Kwa sababu age imeenda na Huyo mke pia ahudumiwe vizur Sasa ukikomaa kuandika machapisho ili uwe proffesa it is tolate. NI MAWAZO TUU
 
Mwenye uelewa wa kutosha wa mtu ku-qualify kuwa prof atuwekee humu. Mchakato wa mtu awe prof ukoje kwetu hapa Bongoland

Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna siku nili panda daladala na profesa wangu hatukupata siti tukawa tumesimama...

Nikamtania kwa kingereza KUA laiti hawa Vijana au humu kweny daladala wangejua wew ni profesa wangekupa siti....

Kuna baadhi ya WATU wamewai waza Ma Prof na wao wangekua na majoho au vazi maalum ili jamii kwa wepesi wawajue kama ulivyo kwa majeshi ma dokta N.k.....
 
Back
Top Bottom