Bwana uber
Member
- Jul 30, 2018
- 22
- 33
Naomba niende moja kwa moja kwenye mada
Kwa utafiti mdogo ambao nimeufanya nimegundua maprofesa wengi ni wazee,vijana ni wachache mno.
Je, ni kwamba elimu ya wazee hawa ambao ndo wengi ni maprofesa ilikuwa rahisi kipindi hicho kuliko elimu ya sasa hivo ilikuwa rahisi kuupata uprofesa?
Au wazee hawa wana akili nyingi kuliko vijana ambao kwa sasa ni nadra sana kusikia kijana msomi ni profesa ,wengi wanaishia kuwa madaktari(PhD)tu?
Tatizo ni nini?
Kwa utafiti mdogo ambao nimeufanya nimegundua maprofesa wengi ni wazee,vijana ni wachache mno.
Je, ni kwamba elimu ya wazee hawa ambao ndo wengi ni maprofesa ilikuwa rahisi kipindi hicho kuliko elimu ya sasa hivo ilikuwa rahisi kuupata uprofesa?
Au wazee hawa wana akili nyingi kuliko vijana ambao kwa sasa ni nadra sana kusikia kijana msomi ni profesa ,wengi wanaishia kuwa madaktari(PhD)tu?
Tatizo ni nini?