Hivi kwanini kila nikitongoza mwanamke ni kicheche

Hivi kwanini kila nikitongoza mwanamke ni kicheche

Heshima kwenu wakuu, mi sio mtoto na ni kijana senior nina 38yrs. Toka nimeanza mapenzi sijawahi kuwa na mschana ambaye sio kicheche.
Kwanza mm huwa ni mchunguzi na nina wivu kupitiliza, sasa cha ajabu kila nikipata mwanamke lazima tu nimfumanie, ama nigundue ananisaliti. Japo huwa najitoa kwa kila huduma kuwahudumia hawa viumbe. Nimejenga fikra kuwa wanawake wote ni wahuni na wanafanya sex hovyo tu. Cha ajabu huwa nikitaka kuwapiga kibuti huwa hawako tayari. At my age nina mschana ana miaka 20 nipo naye sasa kwa miaka 3, sikuwahi kufikiri kama anaweza kunisaliti. Alienda kwao likizo akiwa hukohuko nikamfumzania usiniulize nlifanyeje coz alikiwa kama 200km away. Akakiri kuwa amigehedwa mara kadhaa na mshkaji mmoja hivi na mara kwa mara nlikuwa nikihitaji namtumia nauli anakuja ama mm namfuata . Sasa nikamwambia tuachane akagoma kabisa alishtaki hadi kwa mama yake


kwnz we xio kijana ...kijana ni mimi at 25 xiunaona ninavyandka??

pili me nahisi unahonga sana em punguza coz ukiona mtu anakulilia still anakucheat basi jua we ni sponsor wake
 
Huo umr wako ulipaswa uwe kwenye ndoa ulete habari za michepuko umu au umefumaniwa na mkeo co story za mapenz mapenz mkuu! Jchunguze vzur

Mkuu hp umenena
Manaake c mabachela tunataka tujifunze mbinu mpya kila siku ili tukiingia huko ndoani tujue tunafanya nn
 
Duh ana miaka 20 na mmedumu for 3 years? Simple math mmeanza date huku ana 17! Acha ufisadi tafuta veterani mwenzako mjenge maisha hawa taifa la kesho watakupasua kichwa
 
Guys nina familia msinisakame, huyu alikuwa beki tatu wangu
 
Piga mashine vzr,yaan piga haswa,we tandika tu kila kona mkiwa wawili na uhakikishe anaridhika na mdondo unaomdondokea vzr then honga vzr na mpe uhuru,wanawake wa mjini hawapendi kubanwa banwa..mwsho yy ndo atakua na wivu nawe balaaa,mpk afakukera
 
38 unatoka na mtoto wa miaka 20 bado unahitaji true love lol,

Bro wewe ni Sponsor so kubaliana na hali yako.
 
Pole mkuu. Aliposhitaki kwa mama yake alimueleza pia amekwishagegedwa na mwanaume mwingine mara kadhaa?
 
Heshima kwenu wakuu, mi sio mtoto na ni kijana senior nina 38yrs. Toka nimeanza mapenzi sijawahi kuwa na mschana ambaye sio kicheche.

Kwanza mm huwa ni mchunguzi na nina wivu kupitiliza, sasa cha ajabu kila nikipata mwanamke lazima tu nimfumanie, ama nigundue ananisaliti. Japo huwa najitoa kwa kila huduma kuwahudumia hawa viumbe.

Nimejenga fikra kuwa wanawake wote ni wahuni na wanafanya sex hovyo tu. Cha ajabu huwa nikitaka kuwapiga kibuti huwa hawako tayari. At my age nina mschana ana miaka 20 nipo naye sasa kwa miaka 3, sikuwahi kufikiri kama anaweza kunisaliti.

Alienda kwao likizo akiwa hukohuko nikamfumzania usiniulize nlifanyeje coz alikiwa kama 200km away. Akakiri kuwa amigehedwa mara kadhaa na mshkaji mmoja hivi na mara kwa mara nlikuwa nikihitaji namtumia nauli anakuja ama mm namfuata .

Sasa nikamwambia tuachane akagoma kabisa alishtaki hadi kwa mama yake
Kabla sijakupa ushauri mubashara,kwanza nikuulize maswali mawili,
1. Unamtosheleza kunako 6*6 ?
2.Uko team ipi KIBA au Mandingo ?

Mara nyingi tunawalaumu wanawake ilhali matatizo yapo kwetu,mwanamke unam google mara moja kwa mwezi au miezi miwili unategemea nn??
 
Heshima kwenu wakuu, mi sio mtoto na ni kijana senior nina 38yrs. Toka nimeanza mapenzi sijawahi kuwa na mschana ambaye sio kicheche.

Kwanza mm huwa ni mchunguzi na nina wivu kupitiliza, sasa cha ajabu kila nikipata mwanamke lazima tu nimfumanie, ama nigundue ananisaliti. Japo huwa najitoa kwa kila huduma kuwahudumia hawa viumbe.

Nimejenga fikra kuwa wanawake wote ni wahuni na wanafanya sex hovyo tu. Cha ajabu huwa nikitaka kuwapiga kibuti huwa hawako tayari. At my age nina mschana ana miaka 20 nipo naye sasa kwa miaka 3, sikuwahi kufikiri kama anaweza kunisaliti.

Alienda kwao likizo akiwa hukohuko nikamfumzania usiniulize nlifanyeje coz alikiwa kama 200km away. Akakiri kuwa amigehedwa mara kadhaa na mshkaji mmoja hivi na mara kwa mara nlikuwa nikihitaji namtumia nauli anakuja ama mm namfuata .

Sasa nikamwambia tuachane akagoma kabisa alishtaki hadi kwa mama yake
Kwahiyo kwa miaka yako yote hiyo hujajua kuna Wanawake wa aina tatu, kuna wa kuoa, wa kura nae starehe na wa show off kwa Washikaji, sasa usikute wewe unafanya vice versa
 
Tengeneza wa kwako mwenyewe mkuu.au nunua mdoli weka ndani kiroho safi
 
Back
Top Bottom