Nakazia apoTatzo unachukua ambao sio rika inaonekana wanafata pochi kwako na mbaya zaidi unashindwa kuwatimizia mahitaji yao ya kingono kutokana na age yako hapo suluhisho tafuta wahenga wenzio
Mimi sio kicheche na nimtu mzima 😅😆😆😆Heshima kwenu wakuu, mi sio mtoto na ni kijana senior nina 38yrs. Toka nimeanza mapenzi sijawahi kuwa na mschana ambaye sio kicheche.
Kwanza mm huwa ni mchunguzi na nina wivu kupitiliza, sasa cha ajabu kila nikipata mwanamke lazima tu nimfumanie, ama nigundue ananisaliti. Japo huwa najitoa kwa kila huduma kuwahudumia hawa viumbe. Nimejenga fikra kuwa wanawake wote ni wahuni na wanafanya sex hovyo tu. Cha ajabu huwa nikitaka kuwapiga kibuti huwa hawako tayari. At my age nina mschana ana miaka 20 nipo naye sasa kwa miaka 3, sikuwahi kufikiri kama anaweza kunisaliti. Alienda kwao likizo akiwa hukohuko nikamfumzania usiniulize nlifanyeje coz alikiwa kama 200km away. Akakiri kuwa amigehedwa mara kadhaa na mshkaji mmoja hivi na mara kwa mara nlikuwa nikihitaji namtumia nauli anakuja ama mm namfuata . Sasa nikamwambia tuachane akagoma kabisa alishtaki hadi kwa mama yake
Kwahyo bro hao ni michepuko au ndio unataka kujiwekaHeshima kwenu wakuu, mi sio mtoto na ni kijana senior nina 38yrs. Toka nimeanza mapenzi sijawahi kuwa na mschana ambaye sio kicheche.
Kwanza mm huwa ni mchunguzi na nina wivu kupitiliza, sasa cha ajabu kila nikipata mwanamke lazima tu nimfumanie, ama nigundue ananisaliti. Japo huwa najitoa kwa kila huduma kuwahudumia hawa viumbe. Nimejenga fikra kuwa wanawake wote ni wahuni na wanafanya sex hovyo tu. Cha ajabu huwa nikitaka kuwapiga kibuti huwa hawako tayari. At my age nina mschana ana miaka 20 nipo naye sasa kwa miaka 3, sikuwahi kufikiri kama anaweza kunisaliti. Alienda kwao likizo akiwa hukohuko nikamfumzania usiniulize nlifanyeje coz alikiwa kama 200km away. Akakiri kuwa amigehedwa mara kadhaa na mshkaji mmoja hivi na mara kwa mara nlikuwa nikihitaji namtumia nauli anakuja ama mm namfuata . Sasa nikamwambia tuachane akagoma kabisa alishtaki hadi kwa mama yake
Mkuu mtoa mada amesema yeye ni kijana mbichi kabisa wa miaka 38,kwanini unasema ni muhenga?[emoji23] [emoji23]Tatzo unachukua ambao sio rika inaonekana wanafata pochi kwako na mbaya zaidi unashindwa kuwatimizia mahitaji yao ya kingono kutokana na age yako hapo suluhisho tafuta wahenga wenzio
PIGA CHINIHeshima kwenu wakuu, mi sio mtoto na ni kijana senior nina 38yrs. Toka nimeanza mapenzi sijawahi kuwa na mschana ambaye sio kicheche.
Kwanza mm huwa ni mchunguzi na nina wivu kupitiliza, sasa cha ajabu kila nikipata mwanamke lazima tu nimfumanie, ama nigundue ananisaliti. Japo huwa najitoa kwa kila huduma kuwahudumia hawa viumbe. Nimejenga fikra kuwa wanawake wote ni wahuni na wanafanya sex hovyo tu. Cha ajabu huwa nikitaka kuwapiga kibuti huwa hawako tayari. At my age nina mschana ana miaka 20 nipo naye sasa kwa miaka 3, sikuwahi kufikiri kama anaweza kunisaliti. Alienda kwao likizo akiwa hukohuko nikamfumzania usiniulize nlifanyeje coz alikiwa kama 200km away. Akakiri kuwa amigehedwa mara kadhaa na mshkaji mmoja hivi na mara kwa mara nlikuwa nikihitaji namtumia nauli anakuja ama mm namfuata . Sasa nikamwambia tuachane akagoma kabisa alishtaki hadi kwa mama yake
inamaana ulianza nae akiwa na miaka 17.Heshima kwenu wakuu, mi sio mtoto na ni kijana senior nina 38yrs. Toka nimeanza mapenzi sijawahi kuwa na mschana ambaye sio kicheche.
Kwanza mm huwa ni mchunguzi na nina wivu kupitiliza, sasa cha ajabu kila nikipata mwanamke lazima tu nimfumanie, ama nigundue ananisaliti. Japo huwa najitoa kwa kila huduma kuwahudumia hawa viumbe. Nimejenga fikra kuwa wanawake wote ni wahuni na wanafanya sex hovyo tu. Cha ajabu huwa nikitaka kuwapiga kibuti huwa hawako tayari. At my age nina mschana ana miaka 20 nipo naye sasa kwa miaka 3, sikuwahi kufikiri kama anaweza kunisaliti. Alienda kwao likizo akiwa hukohuko nikamfumzania usiniulize nlifanyeje coz alikiwa kama 200km away. Akakiri kuwa amigehedwa mara kadhaa na mshkaji mmoja hivi na mara kwa mara nlikuwa nikihitaji namtumia nauli anakuja ama mm namfuata . Sasa nikamwambia tuachane akagoma kabisa alishtaki hadi kwa mama yake